unantisha sana ujue... Elizabeth Dominic
Imbombo ngafu! Si aliniambia anafanya biashara ya samaki nowdays! Ndio yamekuwa haya??
juzi akanipgia simu eti niko my charminglady wako nimemtoa out, unadhani nilimwambia kitu? Leo nasikia kaswekwa ndani kwa tabia zake za kifedhuli na kuchefua. Narudi mwanza niwahonge mapolisi wambambike kesi ya bangi aone ukarimu wa watu wa mwanza
Huyo jamaa ni rafiki yake wa karibu sana! Anafahamu issue zote za Erickb52 na wanatunziana siri! Si unaona pofu linavyomtoka hapo juu!
YOU MEAN PARTNERS IN crime? No way...........
Jamani mwenye taarifa zaidi atujuze, ni tetesi nimezipata kwa mtu wangu wa karibu...
Kafumaniwa na mke wa arapiisi.
Kafumaniwa na mke wa arapiisi.
juzi akanipgia simu eti niko my charminglady wako nimemtoa out, unadhani nilimwambia kitu? Leo nasikia kaswekwa ndani kwa tabia zake za kifedhuli na kuchefua. Narudi mwanza niwahonge mapolisi wambambike kesi ya bangi aone ukarimu wa watu wa mwanza