Eric Shigongo....Hapa umepitiliza !

Kwa hili nadhani Shigongo tusimpe lawama za moja kwa moja. Yeye ni mmiliki tu, nadhani hili pia atakuwa ameliona na kwa jinsi ninavyomjua lazima atachukua hatua kwa waliohusika. Nadhani hapa wahariri wanapaswa kubeba lawama za moja kwa moja. Kosa kama hili huwa halina bahati mbaya.
 
Si haki kwa hawa watoto ambao hawana hatia kwa kuuzia vijigazeti vyako uchwara vilivyokosa maadili, nafikiri ni muda maufaka wazazi kuvisusia hivi vigaazeti uchwara uchwara. Ingekuwa yule mama na watoto wanatoka katika familia yake angewaweka front page na maandishi makubwa!! Tuache tamaa ya pesa na tujali utu wa mtu.
 
Shigongo yuko corrupt sana siyo kama anavyoji present kwenye jamii. Kuna baadhi ya watu wazito akipelekewa scandal zao anawaonyesha then wanamwezesha mkwanja halafu anapotezea. Sijawahi kuona habari za uchafu wa Mama Lwakatare na Reginald Mengi kwenye vijarida vyake. Ni aibu kuona anaviandika vitoto vidogo ambavyo ni innocent kwa ajili ya kujipatia hela tu. Shame yourself Shigongo
 
Unacheza na mpiga deal wa hatari anaye ishi mjini kwa kujipendekeza pendekeza kwa wamagamba na kudhalilisha watu!
 
Nasikia naye Shigongo anaishi kwa matumaini baada ya kuukwaa moto wa vvu
 
nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na gazeti la ijumaa wikienda (global publishers) inayohusu watotot walioenda mahakamani kumlilia mtoto wao ambaye ni mtuhumiwa wa biashara ya ukahaba. Kitendo cha kuwapiga picha, kuwataja majina na wanapoishi na kusoma si dhani kama ni sahihi. Watoto hawa leo wataanza kuitwa watoto wa changudoa mitaani na shule. I can imagine mateso ya kisaikolojia watakayoyapata na naweza kufikiria madhara ya muda mrefu yatakayoombatana na kadhia hii. Habari hii ingeweza kukamilika na kueleweka pasipo kuweka majina na picha za watoto hawa. Tumeshuhudia mara kadhaa mkiandika habari za maneno kama "kigogo fulani", jina kapuni nk...kwa nini haikuwa hivi kwa watoto hawa. Kwa nature ya kazi yangu nimekutana na watu wengi ambao leo wanaishi maisha ya tabu kwa kuwa waliacha shule.....na moja ya savavu kubwa ni kunyanyaswa kwa namna moja au nyingine. Halii hii hupeleka mtu kukua huku amekosa "kujiamini" (self esteem). Hali hii ina madhara makubwa sana katika maisha yetu ya kila siku...tabia zetu, uwezo wa kufanya maamuzi, uongozi nk hujengwa katika kipindi mtoto anakua. Nawasikitikia sana hawa watoto.....habari hii iko hapa

sidhani kama shigongo amekosea kitu apo! Kwaiyo unataka kusema na wale majambazi wanaotangazwa na kuonyeshwa na mh kova kwenye tv wataharibika kisaikolojia? Kosa ni kosa tu ,how do you feel ukimuona dingi yako kakamatwa na ujambazi unamwona kwenye tv yote haya ni umagharibi thus why unakuta kuna watu wanaona ushoga ni halali na ni haki za binadam ndiko tunakoelekea vijana kama nyiny wasomi mliosomeshwa umagharibi na kusahau mila na desturi za kiafrica ndiyo mnatumika kutuletea western culture in our society,hivi kweli hao waliotajwa kwa majina na sehemu wanazokaa wakiathirika kisaikolojia kuna impact gani for entiterly society? Nafikiri ndiyo itasaidia kwa wale ambao walikua wanataaka kuanza kufanya ukahaba waogope pyschologicaly wataonekana na jamii itawatenga na hawatajaribu kufanya kuliko nyie mnaopigia debe eti ni privacy! Stupid!
 

sidhani kama shigongo amekosea kitu apo! Kwaiyo unataka kusema na wale majambazi wanaotangazwa na kuonyeshwa na mh kova kwenye tv wataharibika kisaikolojia? Kosa ni kosa tu ,how do you feel ukimuona dingi yako kakamatwa na ujambazi unamwona kwenye tv yote haya ni umagharibi thus why unakuta kuna watu wanaona ushoga ni halali na ni haki za binadam ndiko tunakoelekea vijana kama nyiny wasomi mliosomeshwa umagharibi na kusahau mila na desturi za kiafrica ndiyo mnatumika kutuletea western culture in our society,hivi kweli hao waliotajwa kwa majina na sehemu wanazokaa wakiathirika kisaikolojia kuna impact gani for entiterly society? Nafikiri ndiyo itasaidia kwa wale ambao walikua wanataaka kuanza kufanya ukahaba waogope pyschologicaly wataonekana na jamii itawatenga na hawatajaribu kufanya kuliko nyie mnaopigia debe eti ni privacy! Stupid!

tatizo sio huyo mwanamke...nitakuwa wa mwisho kushabikia ukahaba. Kuliko na haja gani ya kuwaoyesha hao watoto na kuwataja majina. Mbona sie hata watoto wetu wanaojikojolea vitandani tunajitahidi kuwastahi, sembuse hawa amba mama yao ni "mtuhumiwa kahaba". Hivi hawa watotot leo watakuwa na confidence mbele ya wenzao tena? Au fikiria yanatokea mabishano ya kitoto katika michezo nk, halafu mmoja anasema, "toka kule kwanza mama yako changudoa" huyo mtoto atajisikije. Wewe umepita shule unajua mazingira yakoje ,mara nyingi watu wantukunana "was##nge , but haiumi kwa kuwa unajua ni tusi tu, na sio kweli, but hawa watoto mama yao amshatangazwa kwenye gazeti kuwa ni kahaba!.....rudi tena usome post yangu, halafu hiyo stupid utaona kuwa ulipaswwa kujiambia mwenyewe!
 
Tatizo huwa tunapenda kujiona watakatifu na kuwanyooshea vidole wengine wakati tumejaa midhambi kibaoo.
 

sidhani kama shigongo amekosea kitu apo! Kwaiyo unataka kusema na wale majambazi wanaotangazwa na kuonyeshwa na mh kova kwenye tv wataharibika kisaikolojia? Kosa ni kosa tu ,how do you feel ukimuona dingi yako kakamatwa na ujambazi unamwona kwenye tv yote haya ni umagharibi thus why unakuta kuna watu wanaona ushoga ni halali na ni haki za binadam ndiko tunakoelekea vijana kama nyiny wasomi mliosomeshwa umagharibi na kusahau mila na desturi za kiafrica ndiyo mnatumika kutuletea western culture in our society,hivi kweli hao waliotajwa kwa majina na sehemu wanazokaa wakiathirika kisaikolojia kuna impact gani for entiterly society? Nafikiri ndiyo itasaidia kwa wale ambao walikua wanataaka kuanza kufanya ukahaba waogope pyschologicaly wataonekana na jamii itawatenga na hawatajaribu kufanya kuliko nyie mnaopigia debe eti ni privacy! Stupid!

Hawa watoto hawakupaswa kuhukumiwa kwa kosa la mama yao.
 
uelewa wake ni mkubwa ila hayo ni madhara ya kuandika habari za kipashkuna. majungu na fitina! ubongo wake na wafanyakazi wake umelemaa!
 

sidhani kama shigongo amekosea kitu apo! Kwaiyo unataka kusema na wale majambazi wanaotangazwa na kuonyeshwa na mh kova kwenye tv wataharibika kisaikolojia? Kosa ni kosa tu ,how do you feel ukimuona dingi yako kakamatwa na ujambazi unamwona kwenye tv yote haya ni umagharibi thus why unakuta kuna watu wanaona ushoga ni halali na ni haki za binadam ndiko tunakoelekea vijana kama nyiny wasomi mliosomeshwa umagharibi na kusahau mila na desturi za kiafrica ndiyo mnatumika kutuletea western culture in our society,hivi kweli hao waliotajwa kwa majina na sehemu wanazokaa wakiathirika kisaikolojia kuna impact gani for entiterly society? Nafikiri ndiyo itasaidia kwa wale ambao walikua wanataaka kuanza kufanya ukahaba waogope pyschologicaly wataonekana na jamii itawatenga na hawatajaribu kufanya kuliko nyie mnaopigia debe eti ni privacy! Stupid!
hivi wewe jamaa umemuelewa mtoa maada au wakurupuka na mabaki yako ya supu za makongoro ya tsh mia mbili mdomoni??
 
tatizo sio huyo mwanamke...nitakuwa wa mwisho kushabikia ukahaba. Kuliko na haja gani ya kuwaoyesha hao watoto na kuwataja majina. Mbona sie hata watoto wetu wanaojikojolea vitandani tunajitahidi kuwastahi, sembuse hawa amba mama yao ni "mtuhumiwa kahaba". Hivi hawa watotot leo watakuwa na confidence mbele ya wenzao tena? Au fikiria yanatokea mabishano ya kitoto katika michezo nk, halafu mmoja anasema, "toka kule kwanza mama yako changudoa" huyo mtoto atajisikije. Wewe umepita shule unajua mazingira yakoje ,mara nyingi watu wantukunana "was##nge , but haiumi kwa kuwa unajua ni tusi tu, na sio kweli, but hawa watoto mama yao amshatangazwa kwenye gazeti kuwa ni kahaba!.....rudi tena usome post yangu, halafu hiyo stupid utaona kuwa ulipaswwa kujiambia mwenyewe!

kutokana na tatizo lenyewe hao watoto washakua EXPENDABLE ie relative litle significance and therefore able to sacrifice or abandoned hiyo inakubalika kuliko kutumia privacy defence ndiyo inaleta mwanya wa haki za binadamu,mind you ata kama shigongo asingewataja hao watoto kwa ulimwengu wa sasahivi izo habari zingefika tu na istoshe naming their mother in public has directly impact also to her children thus why tunasema hawa watoto ni EXPENDABLE we have nothing to loose ata wakiathirika kisaikolojia itasaidi uyu mama kubadilika na wamama wengine na watafaidika na somo ilo kuliko kuweka SYMPATHY and EMPATHY unatengeneza LOOP HALL haka katabia kawa part and ussual of the entirely society which is unacceptable its against our norm
 
Ila kuna faida zake pia, naamini wapo watakaokuwa wameguswa na hao watoto na kujitolea kuwasaidia.
Pili jamii imepata mafunzo kupitia hao watoto.
 

tunasema hawa watoto ni EXPENDABLE we have nothing to loose ata wakiathirika kisaikolojia itasaidi uyu mama kubadilika na wamama wengine na watafaidika na somo ilo kuliko kuweka SYMPATHY and EMPATHY unatengeneza LOOP HALL haka katabia kawa part and ussual of the entirely society which is unacceptable its against our norm

una watoto wewe?
 
Back
Top Bottom