kutokana na tatizo lenyewe hao watoto washakua EXPENDABLE ie relative litle significance and therefore able to sacrifice or abandoned hiyo inakubalika kuliko kutumia privacy defence ndiyo inaleta mwanya wa haki za binadamu,mind you ata kama shigongo asingewataja hao watoto kwa ulimwengu wa sasahivi izo habari zingefika tu na istoshe naming their mother in public has directly impact also to her children thus why tunasema hawa watoto ni EXPENDABLE we have nothing to loose ata wakiathirika kisaikolojia itasaidi uyu mama kubadilika na wamama wengine na watafaidika na somo ilo kuliko kuweka SYMPATHY and EMPATHY unatengeneza LOOP HALL haka katabia kawa part and ussual of the entirely society which is unacceptable its against our norm