JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
Note:
Uzi huu unawahusu tu watu ambao gari zao zina Immobilizer
Kama una funguo inafanana na hizi hapa chini. Then kaa hapa usome.
Ipo hivi....
Kuna baadhi ya malalamiko watu wanalalamika kwamba wizi wa magari huenda unasababishwa na watu ambao walikuwa wamiliki wa hayo magari au mafundi wanaoprogram hizo funguo. (Unaweza kutumia akili hiyo pia kwa wanaochonga funguo za kawaida).
Kwa funguo ambazo ni Smart key kama hizo nilizozipost hapo juu. Kuna namna ambayo tunaweza kuangalia na tukaona ni funguo ngapi zimekuwa programmed kwa ajili ya kutumika kwenye hiyo gari.
Mfano
Mfano ukiangalia hiyo picha hapo juu. Kuna sehemu pameandikwa 'Number of Registered key codes' hizo ndio idadi ya funguo zilizokuwa registered kwenye immo ya hiyo gari.
Kwa hiyo kama hapo inakuonesha kuna funguo 5 halafu wewe unayo moja tu, na hizo shida zingine hujui hata kama zipo, then probably kuna watu wanazo.
The gud thing inawezekana kudisable funguo ambazo hazipo mikononi mwako na ukaenable zile tu ambazo tunazitumia.
Kwa lugha nyingine kama kama kuna mtu ana funguo nyingine ya hiyo gari yako. Tukiidisable hatoweza kuitumia kwenye hiyo gari.
Alamsiki.
Karibu tukufanyie Computer diagnosis na tukurekebishie matatizo ya gari lako. Hata kama tatizo umedumu nalo kwa muda mrefu. Gari yoyote ndogo kampuni yoyote.
Instagram: @Car_diagnostic_solutions_tz
Facebook: @Cardiagosticstz
Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.
Tupigie 0621 221 606.
Uzi huu unawahusu tu watu ambao gari zao zina Immobilizer
Kama una funguo inafanana na hizi hapa chini. Then kaa hapa usome.
Ipo hivi....
Kuna baadhi ya malalamiko watu wanalalamika kwamba wizi wa magari huenda unasababishwa na watu ambao walikuwa wamiliki wa hayo magari au mafundi wanaoprogram hizo funguo. (Unaweza kutumia akili hiyo pia kwa wanaochonga funguo za kawaida).
Kwa funguo ambazo ni Smart key kama hizo nilizozipost hapo juu. Kuna namna ambayo tunaweza kuangalia na tukaona ni funguo ngapi zimekuwa programmed kwa ajili ya kutumika kwenye hiyo gari.
Mfano
Mfano ukiangalia hiyo picha hapo juu. Kuna sehemu pameandikwa 'Number of Registered key codes' hizo ndio idadi ya funguo zilizokuwa registered kwenye immo ya hiyo gari.
Kwa hiyo kama hapo inakuonesha kuna funguo 5 halafu wewe unayo moja tu, na hizo shida zingine hujui hata kama zipo, then probably kuna watu wanazo.
The gud thing inawezekana kudisable funguo ambazo hazipo mikononi mwako na ukaenable zile tu ambazo tunazitumia.
Kwa lugha nyingine kama kama kuna mtu ana funguo nyingine ya hiyo gari yako. Tukiidisable hatoweza kuitumia kwenye hiyo gari.
Alamsiki.
Karibu tukufanyie Computer diagnosis na tukurekebishie matatizo ya gari lako. Hata kama tatizo umedumu nalo kwa muda mrefu. Gari yoyote ndogo kampuni yoyote.
Instagram: @Car_diagnostic_solutions_tz
Facebook: @Cardiagosticstz
Tupo Dar, Magomeni Mwembechai.
Tupigie 0621 221 606.