Kibonde mbona bwabwa lile !!!!!!!!!!!!!!!
Mimi nilipinga neno hili tokea mwaka 1986 pale tu walipoanza kuitana bungeni. Nadhani neno ndugu ni zuri lakini kama hawataki basi waitwe mtumishi mbunge kwani wao ni watumishi wetu.Kibonde! Kibonde!
Najua huyu mtu anashika mic kila siku na kusema atakalo, lakini siamini kama ni mtu anayestahili hata kujadili hoja kubwa kama hiyo. Hapo tu yaonyesha hajui ni kwa nini watu wanaitwa watukufu, waheshimiwa, nk.
Hivi kaeleza ni kwa nini anaona haifai? Maana kama ni elimu hata yeye hayuko kundi la wasomi!
Who the hell is kibonde
Habari nilizozipata punde..
Mtangazaji wa clouds Fm Ephraim Kibonde ameitumia salamu Jamii Forums, home of great thinkers na ameshukuru na kuheshimu michango yake..
sugu ni mtu ambaye anakubarika saana na watu kwanza kwa sababu huyu bwana anaweza kusema bila kuogopa. Tunataka watu kama yeye, na sasa sugu usimwonee mtu huruma si uliona walichokufanyia? Let them pay for this, fanya kazi baba. Kibonde hana reputations utatangaza mpaka ukome harafu huna tija kwenye utangazaji. Sugu nilisahau msikilizishe kibonde anti virus latest volume.
acheni ushabiki wa kijinga nyie. Kwani sugu atawafanya nini clouds???
Si anakuwa mbunge tu, labda muombe awe waziri kitu ambacho ni ndoto kwa kweli.
Chadema imefuliaaaaaaaaa
Mkuu unalielewaje hili neno HEKIMA? hivi kibondo ana hekima kweli?watoto wakifata hekima za baba wamepotea
- mkulu kibonde, bravo kwa kuitangaza jf mbele ya jamii, as a jf member i humbled, juzi ilikuwa kulikoni/this day, leo clouds, guess what kesho itakuwa rais wa jamhuri, jf mbele tunazidi kunga'ara na kukubalika mbele ya jamii kwamba inapokuja kwenye masilahi ya taifa we know better than all,
- mkuu kibonde, ubarikiwe sana na ninakupa promise, mimi kesho asubuhi sana nitaongea na mabossi wako ambao ninawafahamu kwa karibu sana yaani joe na ruge, nitaweka a word of respect kwao for you na pia ningekuomba sana ujaribu kuelimisha na wanahabari wengine ulio karibu nao kuhusu your jf experience,
- ubarikiwe na mungu wa mbinguni, na jf idumu zaidi!
Respect.
field marshall es!
is a mwananchi who will be under mnyika administration... Anaishi mbezi morogoro road.
Sugu ni mtu ambaye anakubarika saana na watu kwanza kwa sababu huyu bwana anaweza kusema bila kuogopa. Tunataka watu kama yeye, na sasa sugu usimwonee mtu huruma si uliona walichokufanyia? let them pay for this, fanya kazi baba. Kibonde hana reputations utatangaza mpaka ukome harafu huna tija kwenye utangazaji. Sugu nilisahau msikilizishe Kibonde Anti virus latest volume.