TANZIA Aliyekuwa Mtangazaji wa Kiss FM na RFA Dee7 afariki dunia

orangutan

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
759
772
Dee7 (jina lake maarufu) aliekuwa mtangazaji wa radio Kiss FM ya jijini Mwanza amefariki dunia hapo jana tarehe 23.09.2023.

Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kipindi cha African Beats pale Kiss FM mtakuwa mnaikumbuka vyema sauti yenye mamlaka ya huyu ndugu yetu na bila kusahau mchango wake mkubwa wa kuzipatia airtime nyimbo nyingi za underground hiphop artists wa kibongobongo.

To put it short, this brother had unconditional love to the game of bongo hiphop. Bila kusahau mapenz yake aliyokuwa nayo na mziki wa reggae...

Screenshot_20230924-093652_Instagram.jpg


Tumuombee marehemu apate pumziko la amani. Amiin🙏🏾
 
Aisee, D7 mwamba kaondoka? Maisha mafupi sana, nini kimesababisha kifo chake?

Alikuwa mwana sana, tumepiga nae mastori sana enzi za BBM, alitoaga option ya kutuma Voice kwa BBM account yake (2012).

Rest in Peace bro.
 
Dee7 (jina lake maarufu) aliekuwa mtangazaji wa radio Kiss FM ya jijini Mwanza amefariki dunia hapo jana tarehe 23.09.2023.

Kwa wale waliokuwa wapenzi wa kipindi cha African Beats pale Kiss FM mtakuwa mnaikumbuka vyema sauti yenye mamlaka ya huyu ndugu yetu na bila kusahau mchango wake mkubwa wa kuzipatia airtime nyimbo nyingi za underground hiphop artists wa kibongobongo.

To put it short, this brother had unconditional love to the game of bongo hiphop. Bila kusahau mapenz yake aliyokuwa nayo na mziki wa reggae...

View attachment 2760460

Tumuombee marehemu apate pumziko la amani. Amiin
Namkumbuka alianziaga VOT - Radio ya Ragge huko Manyema Mboka moja
 
Miaka ya 2000+ mida ya jionijioni saa 12 ndani ya kipindi pendwa enzi hizo cha 'AFRICAN BEAT' ndani ya KISS FM, ilisikika sauti ya 'MWAMBA' mmoja mwenye sauti kali yenye kuvutia
Aliitwa na wazazi wake jina la HASSAN, baada ya kwenda shule na kusomea utangazaji aliamua kujiita D7 yaani DEE SEVEN au waweza kutamka DII SEVENI
Muite upendavyo, ukitaka uite DEE 7 a.k.a SELEKTAH DEE 7 a.k.a TOP UJAZO a.k.a BROTHERS KEEPER a.k.a DEE VODA a.k.a DEE FAYAH a.k.a VAHMPAYAH KILLAH
Yote yalikuwa ni majina yake ya 'MITAANI'

Kwa wahenga walimsikia sana pale 'KISS FM' mida ya jioni iwe kwenye 'TOP 10' n.k

DEE SEVEN 'DIISEVEN' hatupo nae kwenye hii dunia ambayo kimsingi ni ya mapito kwa wote tunaosoma hii post
DEE 7, TOP UJAZO kafariki jana jumamosi ya tarehe 23.09.2023

Philbert Kabago ambaye ni 'rafiki mkubwa' wa marehemu, anaripoti kuwa marehem DEE 7 alikuwa amelazwa hospital ya SEKOU TOURE (Sokouture) na alikua akisumbuliwa na kisukari

Rest in peace hommie boy wa kwetu Nzega
FB_IMG_16955481828369843.jpg
 
Apumzike kwa amani, hakika alikitendea haki kipindi cha African beats enzi hizo pale KISS FM.
 
Back
Top Bottom