Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,873
Mi nachoka kabisa...hii ni sanaa tupu...maana hawa ni wale walioshindwa kurudisha. waliorudisha wako wapi? we want big names here
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nachoka kabisa...hii ni sanaa tupu...maana hawa ni wale walioshindwa kurudisha. waliorudisha wako wapi? we want big names here
sasa mbona Jeetu Patel haonekani kwenye picha???
au mpiga picha ndiye kamsahau???kwa maana Jeetu ndiye muhimu zaidi kuliko wote,kwa kutilia maanani habari ambazo zimekuwa zikisemwa kuwa serikali imekiri kuwa hakamatiki mara yuko nje ya nchi.Na mwanzo wa thread hii imeripotiwa kuwa naye amekamatwa na kufukishwa kisutu,jamani mimi bado sina amini kama mtuhumiwa namba moja Jeetu Patel amekamatwa,labda nione picha yake hapo angalau
hii ni sanaa tupu...maana hawa ni wale walioshindwa kurudisha. waliorudisha wako wapi? we want big names here
sasa mbona Jeetu Patel haonekani kwenye picha???
au mpiga picha ndiye kamsahau???kwa maana Jeetu ndiye muhimu zaidi kuliko wote,kwa kutilia maanani habari ambazo zimekuwa zikisemwa kuwa serikali imekiri kuwa hakamatiki mara yuko nje ya nchi.Na mwanzo wa thread hii imeripotiwa kuwa naye amekamatwa na kufukishwa kisutu,jamani mimi bado sina amini kama mtuhumiwa namba moja Jeetu Patel amekamatwa,labda nione picha yake hapo angalau
Kuna watu HAWAMJUI Jeetu Patel, na wengine wanadhani Jayant ni mtu tofauti na yeye!Kumbe Jayant Kumar ndo nani, so si ndio Jeetu Patel ama... unataka uone the real name Jeetu Patel, Poa habari ndio hiyo
Waliorudisha wamepata presidential amnesty jamani! Walioshindwa kurudisha by 31/10/08 ndio wanashtakiwa....si ndivyo mkuu alivyoelekeza?Au kuna mabadiliko?
sasa mbona Jeetu Patel haonekani kwenye picha???
au mpiga picha ndiye kamsahau???kwa maana Jeetu ndiye muhimu zaidi kuliko wote,kwa kutilia maanani habari ambazo zimekuwa zikisemwa kuwa serikali imekiri kuwa hakamatiki mara yuko nje ya nchi.Na mwanzo wa thread hii imeripotiwa kuwa naye amekamatwa na kufukishwa kisutu,jamani mimi bado sina amini kama mtuhumiwa namba moja Jeetu Patel amekamatwa,labda nione picha yake hapo angalau
hii ni sanaa tupu...maana hawa ni wale walioshindwa kurudisha. waliorudisha wako wapi? we want big names here
hii ni sanaa tupu...maana hawa ni wale walioshindwa kurudisha. waliorudisha wako wapi? we want big names here
Thats the obvious Mkuu!ni kuvunja sheria kumsamehe mwizi hata kama amerudisha... presidential amnesty is for convicted persons only..... na hapa jeetu jamani hayupo
Thats the obvious Mkuu!
Ila the way things are going on in this country..slowly we are seeing emergence of a new jurisprudence..hahahahahahah
Wait a minute!!!! Ochu tuwe na uvumilivu kidogo na tuwe fair kidogo jamani.
Kwanza hapo wamo waliolipa na ambao hawajalipa na katika waliobaki wamo waliolipa na wasiolipa. Jeetu Patel amelipa, Lukaza hajalipa. Waliobakia Manji kalipa huku Maregesi hajalipa na hawajafikishwa mahakamani. Tujue sheria ni ngumu sana na kama kweli ushahidi haujakamilika lazima waendelee kuchunguza.
Jambo la msingi ni kufuatilia kesi, maana sasa hata kosa waliloshitakiwa hulijui unasema ni sanaa. JF itashuka hadhi kama tunapinga bila hoja. Tusubiri tuone mwenendo wa kesi na ushahidi, tusubiri na kutafiti (kama kawaida) ili tuweka data ambazo serikali watajaribu kuficha. Tuwasaidie waandishi wa magazeti waweze kufichua zaidi na si kulaumu hata pale serikali inapofuata tuliyotaka kama hili la Jeetu Patel, watu wamepiga kelele mpaka serikali imesikia, sasa badala ya kusema kwa hili la Jeetu HONGERENI tunasubiri wengine. Huo ndio uungwana jamani.
Tulikua tunajua na tuliweka hapa na Raia Mwema wakaandika kwamba Jeetu Patel na wenzake wa kagoda wanaogopewa, tukaweka data za kuonyesha kwanini tunaona Jeetu Patel ni mhalifu na hivyo kuwafanya wahusika wakaongeza juhudi na kupata ukweli.
Leo Raia Mwema limeandika kwamba sasa hakuna wa kupona hata waliolipa na ndivyo ilivyokuwa, angalao tuseme kwa hili HONGERA Raia Mwema, Hongera serikali lakini tunasema tena, TUNASUBIRI watu wa Kagoda na wengine.
Kazi nzuri Afande Kasara na wenzako maana hapa wanawasema tu kina MWanyika, Mwema na Hosea hawajui behind kuna kichwa kinaitwa Kasara.
Soma kwenye attachment ya topic hii:Kwa uchache Johnson Lwekaza ni nani?
Kazi nzuri Afande Kasara na wenzako maana hapa wanawasema tu kina MWanyika, Mwema na Hosea hawajui behind kuna kichwa kinaitwa Kasara.