Kwa uchache Johnson Lwekaza ni nani?
Jina ni Johnson Lukaza
Kwa uchache Johnson Lwekaza ni nani?
Kwa uchache Johnson Lwekaza ni nani?
Soma kwenye attachment ya topic hii:
BoT Scandal: Tulikotoka, Tulipo, Tunakoelekea
Au fanya kuisoma hiyo thread utamjua kuliko hata mimi
Jina ni Johnson Lukaza
sasa ukimchokonoa JL inamaana hii itakuwa connected to the top
ndio maana nasema hakuna kesi hapa lets not waste out time
Mimi nahisi ni kama nguvu ya soda hii
Let's be honest.Hivi hizo top connections zisingeweza kuzuia fedheha hii kwa Lukaza?You are only connected to the top when to top deems that connection neccesary.It's like a condom,vital when needed,disposed of when used.Do I have to remind you kwamba USHIRIKA WA WACHAWI HAUDUMU?
Baadhi ya picha za watuhumiwa wakiwa mahakamani ziko....
Hizi hapa:
Kutoka kushoto Lavendra Vinod Bhai, Amith Nandi na Jant Kumar wakiwa mahakama ya kisutu mchana huu. Wanatuhumiwa kuchota bilioni 10 kila mmoja.
..hawa nao wamo, kushoto ni Bw. Johnson Mutachukurwa Rwekaza anayedaiwa kuchota bilioni 6.3. Wengine majina yao hayakuweza kujulikana mara moja! Wameshindwa masharti ya dhamana na wametupwa lupango hadi Novemba 18 kesi yao itakapotajwa tena! habari ndiyo hiyo!!!
well, along the way anajua alifanya nini na zile pesa zilikuwa zinatoka wapi. Na yule ndugu yake aliyelipwa pesa za kiwanda cha simenti naona naye kama alimlaani huyu kijana
Hivi unajua kama JL alikuwa anasafiri na Muungwana?
btw
pamoja na kuwa JL alikuwa na pesa lakini ukweli usiopingika kuwa alikuwa hana CLASS au TASTE na hizi nyumba zake zinasema mengi sana about the man himself
PROIN LTD - Projects - Completed
Acha hizo.... hivi kusafiri na Rais ndio defence? Acha hizo kaka G.T. Unajua alisafiri kama nani?
Kwa taarifa hakuwa katika msafara wa Rais, alikuwa katika msafara wa wafanyabiashara walioasisiwa na TCCIA ya MUsiba na walikwenda kwa gharama zao na walikwenda Marekani
turudi kule kule
hakuna kesi hapa
Hapo kuhusu suala la kesi, naweza kukubaliana na wewe kwa maana tumewalazimisha kuwashitaki wameamua kutuzuga, dawa ni kupambana kuhakikisha haki inatendeka na inaonekana kutendeka.
well, along the way anajua alifanya nini na zile pesa zilikuwa zinatoka wapi. Na yule ndugu yake aliyelipwa pesa za kiwanda cha simenti naona naye kama alimlaani huyu kijana
Hivi unajua kama JL alikuwa anasafiri na Muungwana?
btw
pamoja na kuwa JL alikuwa na pesa lakini ukweli usiopingika kuwa alikuwa hana CLASS au TASTE na hizi nyumba zake zinasema mengi sana about the man himself
PROIN LTD - Projects - Completed
Jeetu yupo katika hizo picha (huyo Mwenye jina la Jayant Kumar) wa tatu kutoka kushoto, msitari wa mbele. Huyo ndio Jeetu Patel mwenyewe, someni posts zilizopita kuhusu majina ya huyo bwana.
Hivi unayo picha ya karibuni ya Nambua Mlaki?