Enzi zile za Mwalimu

Enzi zile za Mwalimu

Wacha weee


image018.jpg
Acha kudanganya na picha za Malick Sidibe toka Mali. Ni wazi haukuwepo enzi za Mwalimu.
 
Miaka ya 2000 watu walikuwa wanatundika vimobiteli kifuani kama cheni,angalia video ya zeze ya TID,ni sawa na skuiz mtu akinunua iphone 6-7 maselfi kibao kwenye kioo watu waone alama ya apple kwa hyo huyo kwa enzi zake alikuwa sahihi kabisa kwenda na stereo yake kupiga nayo picha
wewe mtafiti bingwa, hizi iPhone zinatia aibu watu
 
Natamani ningekuwa Kijana wa enzi hizo, kwasababu:-

Mademu walikuwa wapo kiasili zaidi.

Maradhi hayakuwa mengi, yaani Mtu unajitelezea tu CHAPEKU, sio haya mambo ya kuvaa vaa Mipira, kwa kweli ni usumbufu wa hali ya juu.


Huyu DEMU wa kwanza kushoto CHUCHU zake zimenichanganya kinoma, ana CHUCHU tamu sana

image001+%282%29.jpg
Pengine ndio alikuwa bibi yako huyo
 
Wapi ntapata hili shati?,la kibabe sana.Alafu nimegundua enzi hizo matipwatipwa na wenye vitambi hawakuwa wengi kama skuiz,katika hizo picha sjaona kitambi hata kimoja

Kitambi kitoke wapi chakula chenyewe kukipata ilikuwa kwa foleni na resheni (ration).
 
Miaka hamsini baadae watakaokuwepo wakiangalia picha yako watakukona mshamba.
Mhuu labda kama watakuwa wanatembea uchi. Manake sasa hivi tu kwa kizazi cha watoto kwa kiasi kikubwa kwenye mavazi mwanamke na mwanaume hawatofautiani. Na wengine wanavalia suruali karibia na kagotini.
 
Back
Top Bottom