chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,896
Miaka hamsini baadae watakaokuwepo wakiangalia picha yako watakukona mshamba.Duh! Walikuwa washamba kweli!
"Kila zama na kitabu" chake,hata wewe utakuja kuonekana "mshamba" na kizazi kijacho coz hizo zama zijazo nazo pia zitakua na "kitabu" chake.Duh! Walikuwa washamba kweli!
Huyo du anayejivisha heleni vichuchu vidogooooo...hako unabugia kote mdomoni
hereni.Huyo du anayejivisha helenivichuchu vidogooooo...hako unabugia kote mdomoni
Nikiukumbuka uzee huwa silali
kitu twist katika ubora wake
Very Smart!🙂
Kitu cha ngazi tatu,huu mtoko ulikuwa wa kishua sana
Dah aisee moka kali