Enzi zile za Mwalimu

Enzi zile za Mwalimu

image008.jpg
 
wameenda na redio studio jaman jaman tunatoka mbali aisee
Miaka ya 2000 watu walikuwa wanatundika vimobiteli kifuani kama cheni,angalia video ya zeze ya TID,ni sawa na skuiz mtu akinunua iphone 6-7 maselfi kibao kwenye kioo watu waone alama ya apple kwa hyo huyo kwa enzi zake alikuwa sahihi kabisa kwenda na stereo yake kupiga nayo picha
 
Hizi zishaletwa humu jf thread zikiwa nyingi za kufanana nini maana yake?
 
Natamani ningekuwa Kijana wa enzi hizo, kwasababu:-

Mademu walikuwa wapo kiasili zaidi.

Maradhi hayakuwa mengi, yaani Mtu unajitelezea tu CHAPEKU, sio haya mambo ya kuvaa vaa Mipira, kwa kweli ni usumbufu wa hali ya juu.


Huyu DEMU wa kwanza kushoto CHUCHU zake zimenichanganya kinoma, ana CHUCHU tamu sana

image001+%282%29.jpg
 
Back
Top Bottom