N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
sasa kuna moja kali wakati nimemaliza darasa la saba nasubiri kuingia form one kuna jamaa mmoja alikuwa kanizidi umri kidogo yeye alikuwa na demu wake akaniambia nimsindikize ilikuwa kama saa 2 usiku, basi jamaa akamwita demu kutoka kwao tukaenda pembeni akawa anabambia kama hatua kumi mbele ya pale napomsubiri nilikuwa naona kwa mbali jamaa akawa anapiga denda huku anamchezea mashine, baadae wakaagana akarudi yule demu akarudi kwao sasa wakati tunarudi nikawa namuuliza mbunye uwa ikoje basi jamaa akaninusisha ule mkono aliokuwa anachezea mbunye ili nisikie harufu ya mbunye
unaambiwa kwa mara ya kwanza siku ile nilienda winga (kusimamisha) mpaka nilipofika home ikabidi nikae kidogo nje mpaka mashine ilipopoa (kama nusu saa hivi) ndio nikaingia home maana kikaptula chote kilikuwa kimepelekwa mbele
Huna Laana Wewe, yaani nimecheka mpaka machozi :rofl: