Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,403
Unaona vijana waliokula dona maharage hao matumbo flat, kiepe na Pepsi vinawapa vitambiMubashara kabisa View attachment 617281
Unaona vijana waliokula dona maharage hao matumbo flat, kiepe na Pepsi vinawapa vitambiMubashara kabisa View attachment 617281
Njaa tu hao...walivyopata ajira vitambi vilikuja haraka sana!Unaona vijana waliokula dona maharage hao matumbo flat, kiepe na Pepsi vinawapa vitambi
Wakati huo brother alikuwa UDSM basi akija home bugaluu na raizoni shati la kubanaZingatieni kichwa cha habari kwenye hio 'screenshot'....yaani mama zenu kwa hao jamaa walikuwa hawafurukuti!
au wa mkoaniBugaluu na Afro sasahivi ukitupia hizi code unaweza pata kesi ya uchochezi..
kuna video ya kihenga nimeshindwa kuipandisha hapa. njoo pm nikurushie uibwage hapa tukumbushane enzi babu hakamatiki kwa bibi. fasta mjomba.[emoji23] [emoji23] [emoji23] 3 kwa 1
we tunakukaribisha mkoani. inaonesha unapenda products za huku kwetu. [HASHTAG]#SHIMBA[/HASHTAG] YA BUYENZE mwintage kadi mwanang'weri gete!Unaona vijana waliokula dona maharage hao matumbo flat, kiepe na Pepsi vinawapa vitambi