Ndio maana siku hizi wadada wanavaa saa za wakaka it's a matter of time and fashion, kumbe zamani mabro walikuwa wanabeba pochi za wadada.Mubashara kabisa View attachment 617281
Mfuko wa documents muhimuHivi ile pale ni wallet, pochi ama handbag?
Kumbukumbu zinaelekeza 'Remy Ongala' akipiga Njiapanda ya Uwanja wa ndege ukumbi naona umeshautaja jinaEnzi Hizo Mk Group Wanapiga Kwny Ukumbi Maarufu Dar, Ukijulikana Kama Ruvuma Mpaka Maputo. mshana jr, Unakumbuka Dr. Remmy Na Super Matimila Walikuwa Wanapiga Ukumbi Gani Mwananyamala?
Kula Like ya kihengaMubashara kabisa View attachment 617281
Super MatimilaKumbukumbu zinaelekeza 'Remy Ongala' akipiga Njiapanda ya Uwanja wa ndege ukumbi naona umeshautaja jina