Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mbona siku hizi watumishi hukopwa mshahara wao mpaka tarehe 48 hivi kunani????????
Mbona sie wengine tushatafuna? Nasasa tunapiga mahesabu ya next month? Labda idara yenu wazembe tu! Wala usimsingizie Jk. Kwani wakati wa mkapa ulikuwa unapata Tsh ngapi as saraly? Tusiwe wanafiki na tuseme ile iliyokweli!