Enzi ulipokuwa boarding

Dah!jamani ma headmaster walikuwa zamani,leo hii hamna kitu mi nawaona ma brazameni tu!
<br />
<br />
kitu Mr Teti nyie fundisheni topic zoote logic ya kwake...fisadi lile bora liliamishwa
 
Nakumbuka Ilipikwa nyama alhamisi Mzee mzima JANJA Pori Nkazusha Kuna PANYA kwenye MBOGA wanafunzi wakazira tehe ilipigwa nyama hapo hadi nkalazwa
 
enzi Hzo nimehamishwa Arusha Sec nkaenda bweni 4m 3 kitu cha boys nkawa nasuply Ganja Du ha ha yani Boyz 4m 3 na 4 lazima awe na kijakazi au mke 4m 2 and 1 akati wote boys du maisha bwana
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kitu Mr Teti nyie fundisheni topic zoote logic ya kwake...fisadi lile bora liliamishwa
<br />
<br />
Kitu kinakwambia mathematic is a language like other languages!
 
kaka MWENYE KAMTAndao HAKA je unakumbuka BWIRU BOYS na BWIRU GIRLS AKA MENDE na punje na kaselo Bosso billa kusahau Masta system ova nguruwe form one hao du kweli shule shule tu usisahau kaka
 
rugambwa girls tulikuwa hakuna uzio saa kumi na moja ma tunaenda kuoga uwanjani ambako kumeface barabarani basi wakaka wa mjini wanakuja kibaao kushangaa na watoto bambataa zote wanazigeuzia kwao utoto bwana.pia ticha wa kiume alitufata dom tuko six tukavua nguo dah jamaa angaingia akatuchapa ivo ivo
 
Niko f1 ndo mgeni wakaja bweni la f1, masela wawili chalii za arusha akajitambulisha naitwa shetani,mwingine Pepo,wakasema kila f1 atoe zawadi wakatambike, wakasimama na mgorore mwekundu unakuja mmojammoja unaweka chochote ulichonacho ,walijaza maboksi matatu ya vitu !kama mnamfahamu Bönta Ni mwanamziki wa böngo flavour proffesional doctor!
 
Kizunguzi Secondary nakumbuka kuna siku njuka tulikuwa zamu ya kumenya mihogo kwa ajili ya kitafunio. Basi watu walitafuna mihogo yote, kiranja alipofika akakuta nusu sufuria tu ndiyo iliyomenywa, watu wametafuna karibu gunia tatu.
 
Kwanjeka noma,kuna mother mmoja tulimkamata mwanae kwa wizi wa viatu,alipotonywa kuhusu mwanae kukamatwa na wanafunzi,alikuja mkuku na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine,wote tulitoka nduki tukamwacha yeye na mwanae.

Hivi "mabampali" bado yapo hapo Tanga School?

Vp wanafunzi hapo bado wanaangusha nazi (a.k.a vyombo) kwa mawe?
 
Umenichekesha sana!!

Nakumbuka pale Mzumbe SEC ukiumwa Malaria unapewa SOFT DIET(Wali topetope na kabichi). Basi watu tulikuwa tunaumwa kila siku. Tatizo sasa mpaka Daktari wa shule(hata sio daktari), akuandikie(21days SD). Hapo ndugu chereko tu hahaha

Jamaa yangu mmoja Tosa (A-leve), alienda Ipamba Hospital akafoji diet, kuja shule akaanza kufurahia maisha kwa kula wali (bokoboko) baada ya kama wiki 2 hivi akakinai lile bokoboko akaenda kwa stoo kipa na kumwambia...." sasa mzee naomba lile bokoboko liwe gumu gumu kidogo"
 
wakuu menikumbusha mbali sana nakumbuka shycom ,kulikuwa na kamanda wa kisamorai,huyo kamanda alikuwa na power kama head master kwa wanafunzi wa kiume kulikuwa na mambo ambayo wavulana mnaongea lakini wasichana hawatakiwi kujua ilikuwa inaleta nidhamu sana kwa wavulana na ilikuwa siri kuna siku kuna jamaa mmoja form six alifanya mambo ya kipuuzi tukaitwa kisomarai kumpa jamaa adhabu jamaa akawa anakataa adhabu makamanda wa kisamorai wakamshika then wakamchapa bakora za kufa mtu duu ilikuwa noma jamaa alilia kama mtoto but hiyo adhabu ilifanyika kisiri hakuna mwalimu aliyejua au wasichana
 
Kwa wale UMBWE SEC A'level, mabinti wa pale(O'level) walipewa jina la MALOKA!
Muda wa msosi unachukua maharage halafu unachanganya na kitu kinaitwa KIUNGO ni noma kilikuwa maarufu sana.
Lile chama la UMACHA(umbwe na machame) lyamungo walikuwa hawalipendi kweli coz walikuwa wananyimwa disco na watoto.
 
<font size="3"><span style="font-family: garamond">Jamaa yangu mmoja Tosa (A-leve), alienda Ipamba Hospital akafoji diet, kuja shule akaanza kufurahia maisha kwa kula wali (bokoboko) baada ya kama wiki 2 hivi akakinai lile bokoboko akaenda kwa stoo kipa na kumwambia....&quot; sasa mzee naomba lile bokoboko liwe gumu gumu kidogo&quot;</span></font>
<br />
<br />
mgonjwa lake boko boko,gumu gumu halimfai!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom