Enzi ulipokuwa boarding

Enzi ulipokuwa boarding

Daaaah mazengo sec vyoo vilikuwa vimejaa,halafu harufu ilikuwa kali sana kutokana na wengi wetu kutumia makaratasi badala ya maji,pia hii ilipelekea kuibuka ugonjwa wa fangasi za korodani almaarufu kama "pumbu erosion",ndugu zangu ugonjwa huu ulikuwa hatari,ilitakiwa ili kuukwepa kila ukiingia kujisaidia uvue nguo zote na ukitoka uoge na ujikaushe vizuri.Dawa ya hii kitu ni spirit,sasa hapa ndio utajua shunguli yake.Ilikuwa ukipaka spirit kwenye korodani zilizoathirika maumivu yake ni sawa na mtu kawasha njiti ya kiberiti na kusogeza kwenye ikulu yako.
It was funny sana kumkuta mtu anajitibu,utacheka sana.>>
 
nakumbuka Mazengo enzi hizo,tulikuwa tunapata uji saa kumi na moja afajiri.ilikuwa kengele ikigonga tu ukichelewa kidogo tu imekula kwako.Basi bwana kuna jamaa alikuwa analala kwenye deka juu mimi chini,siku moja kengele ya uji imelia tu mimi nikachomoka fasta kitandani,kumbe na jamaa juu alikuwa tayari amesharuka kutua chini,kilichotokea hapo sitasahau maana ilikuwa bonge la collision.daaah uji ulikuwa unaitwa "Nyuka"

Mkuu Nyuka hiyo kwetu Tosamaganga ilkuwa ni uji usio sukari. Au wenzetu mliwekewa sukari?
 
sitasahu siku nilipanda mnazi mrefu kufika juu mikono ikaanza kuisha nguvu...
ilikuwa bagamoyo sec 1994
 
...nakumbuka MAGAMBA BOYZ dat tyme njuka..kulikkuwa na mechi form 4 vs 3...form four wakafungwa afu jumapili cku ya nyali..dah kulipigwa bonge la beto maana ugomnv ulihamia dinning...walikula wao tu...
 
kwa wale wa MAGAMBA BOYS a.k.a GAMBIAN BULLS kule lushoto, kulikuwa na mtindo wa kupigwa fundo form 1 usiku, yaani jamaa anafunga peasi kwenye taulo halafu usiku ukiwa umelala unabondwa nalo kisha ukishtuka mtu keshasepa, ili kuepuka hilo inabidi daily uwe bundi darasani usome, au form 1 (njuka, ndama....kz) mnaamshwa saa6 usiku kwenda kuoga na kuna baridi ya kufa mtu, wengi sana walishindwa yale maisha ya unyanyasaji wakahama na wengine kuacha shule, tulivyofika form 2 ndio na sisi ubabe ukaanza. kwa kifupi shule nyingi sana za boarding enzi hizo zinafanana kitabia kabisa, shule za private nyingi zilikuwa hazina sifa coz waliokuwa wanaenda huko ni wale waliofeli msingi, gvnmt ilikuwa shule za vichwa tu, maskini asaiv shule za serikali zinaonekana majalala.
.....umenikumbusha mbal mkuu...nlipataga dhahams hiyo kaunda dom..mwl munde alikuwa zam
 
Ndani Ya Kilosa Agr Sec N Full Mau2ndu@ Dah wanafunzi wa xaxa hakuna vituko nakumbuka mwaka jana 2014 2livuta kufika shule na ndipo 2lipewa adhab ya kulima eneo la mraba 30m kwa wa2 5 na yalikuwa bonge la majani 2liamua kumgomea mwalimu 2kamnyang'anya karatas ya majina na kexho yake asb 2kaondoka kwan 2likuwa free baada mock 4m6 mwaka jana na xaxa 2mevuta tena
 
hapo Kwiro Boys tulikuwa na toilet chafu znaitwa Serbia za kulenga hazina milango na znanuka mbaya ukitaka kukata gogo lazima uvue nguo zote maana alufu lake halikadiliki
 
Serbia ni nomaa..mshikaji wangu alitumbukiza simu vyoo vya serbia..alikomaa mpaka akaitoa toka mavini
 
Back
Top Bottom