Nakumbuka wakati nipo form 2 tulikua na tabia ya kuwatesa,kuwasumbua na kuwanyayasa form 1 ili kulipiza yale yaliyotukuta b4,kulikua na dogo wa form 1 mbishi kichizi kiasi kwamba alikua hapendwi na kila m2 aliyemzidi kidato.kwa hiyo kukawa na kampeni ya kumuadhibu,mara kitanda chake kime mwagiwa maji,kimepakwa upupu,wa2 wanakata godoro kusafishia viatu,kuchambia nk.Ikabidi aombe uhamisho lakini kabla ya kuondoka alitaka kulipa kisasi.Basi usiku watu tumetoka prepo genereta limezimwa watu tumelala halfu mvua inayesha tukasikia m2 anapiga kelele za moto,moto,moto.utaratibu ulikua ukishasikia hiyo mbiu toka fasta bwenini,watu na mabegi yetu,magodoro,mizinga tukatoa kwa kasi kuviokoa kwa moto halaf baada ya muda tukakuta kimyaaa wala hatuoni moto wala moshi.Ikabidi tufuatilie chanzo cha hiyo sauti, tukamkuata yule dogo amewka headphone masikioni,walkman mfukoni anayarudi mangoma ya kiafrica (africa moto,moto,afrika moto).tulitaka kumtembezea kipigo lakini bahati yake patroni alikua on time.Ila sita msahau