Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
Moshi tech enzi izo siku ya wali ukijaziwa sahani uwezekano wa kuipoteza au kukuta punjepunje ndo zimebakia ulikuwa mkubwa. Siku moja tumeingia mesini kwa kugombania tukajikuta tumeizunguka meza ila kuchukua sahani zetu ilikuwa insue,meza ikawa ina move kutegemea na upande unaokuwa weak. Nyali ikawa inamwagika na plate nyingine zinaibiwa apoapo na mwizi unamuona ila kutoka na kumkamata haiwezekani. Ku miss wali ilikuwa kawaida. Maisha ya bording ni hadithi tosha kwa wanangu
Mkuu umegusa penyewe, namkumbuka "Braza" Mpande na mambo yake ya kuja kuamsha watu kwenda mchaka mchaka. Kuna siku alikuja na kali ya mwaka: Eti akiwaona watu mjini alikuwa anawakariri uso, sasa watu wamegundua wakimwona tu wanageuka upesi na anashindwa kuwakariri uso, basi akasema atakuwa anakariri visogo. Baada ya majuma kadhaa akasema wanafunzi wakimwona basi wanageuka na kuvua mashati wanayafunga kichwani ili kuficha visogo, sasa akasema basi nitakuwa nakariri (ashakum siyo matusi) ******, nikiliona linaenda hivi au hivi basi nitajua ni la fulani,,, alikuja kutuacha hoi siku alipo-prove jinsi mbinu yake inavyofanya kazi kwa kumtolea mfano jamaa mmoja aliyemwona town Moshi,,
Yule Mwalimu sintokaa nimsahau aisee..
Mi nilipitia hapo dah mchaka mchaka noma hadi Round about Isee!! Afu pamoja na samaki kupatikana kwa wingi kule walikuwa hawapikwi, chakula kikuu kilikuwa ni Bondo kwa mbaazi kavu. Nashukuru weekend nilikuwa nikizamia kwa MRs Kirimba(mama pendo) yule mganga wa shule. Mnelamwana ndo alikuwa ticha mnoko kwangu henzi hizo za Headmaster Kissuu.Eban man umenkumbusha mbali ile mbya,mi nlikuw form 1 miaka 12 iliyopita pale Mtwara Tech School,hakuna k2 nlikuwa cpendi kama mchakamchaka, kaka, toilet ndo lilikuwa chaka langu la kuhide,kumbe viranja wakuda wakanshtukia bas cku 1 nko toi naskilizia wana warud msoton kwa mbli nkasikia mayowe,kidume nkasema yes maboya wanarud ngoja nitoke toi nizuge nlikuwa nao,kaka!Ile nafungua mlango 2 si nkakutana na kilanja mmoja hv alikuwa mnoko kama shule ya babake,yule bwna akanipa bonge la konzi alaf kw jnc alvyokuwa na nguv nkahc kama dodo imedondokea kichwan akanchomoa nje nkaruka kifrog frog cha kutosha,khe!hko nje c nkakutana na wadau wengne wny kamchezo kama kangu...Otea nini kilifata
Aaaaagh....! Mkuu kumbe na wewe upo humu from CHIDYA kwa kamanda MWAITENGA na MZEE MZIMA BASE....! CHINDAMBA MATELEPHONE,YY KILA SIKU ANASOMEA CHOONI,HUWA HAPANDISHI AKISOMEA DARASANI.....! HATAREEEEE.....! SANA KAMBONA NA DARK CHAMBER,MAemeo ya hatari hayooooo...!Me nakumbuka 2livyokuwa golan(school) cku ya wal na nyama kuna jamaa 1 albeba wal wake akiendw dom kuula bas kuna jamaa mwngne akamgonga kwa baat mbaya bas ile saan yake ikadondoka na kujifunka chini,basi jamaa akamalizia 2 kumiminia mchuz palepale chini na akaanza kula mpaka anakalibia chini akaacha,daaaaaaaaaaah nlcheka balaaaaaaaaa
Nakumbuka siku moja nikiwa o-level form 1 kibaha sec,si unajua ule utaratibu wa misosi,watu kadhaa mnaunda kikosi,maybe watu 13 mnakuwa na dishi lenu moja la ugali/wali na moja la mboga.
Ugumu ulikuwa unatokea ikifika zamu yako, unafuata msosi jikoni,unagawa kwa wenzio na kuosha madishi na kuyarudisha jikoni.siku moja jamaa alipojua ni zamu yake akaamua kutokuja kabisa.
Tulikuwa form one 5,form two 4 na form four 2.Form four mmoja akashauri form one(nyoya,salamanda,nyoka) mmoja ajitolee lakini tuligoma wote. Wale form iv walijitolea ku-save msosi,ila walichofanya sitasahau.
Waligawana msosi wao wawili wakatosheka, baada ya hapo walimwaga wali wote uliobaki chini na mchuzi wakaugeuza maji ya kunawa,kiufupi tulipigwa dash.
Dah!vp wewe ulipokuwa form one,tupe kisanga kilichokukuta!
Kwanjeka noma,kuna mother mmoja tulimkamata mwanae kwa wizi wa viatu,alipotonywa kuhusu mwanae kukamatwa na wanafunzi,alikuja mkuku na kuanza kuvua nguo moja baada ya nyingine,wote tulitoka nduki tukamwacha yeye na mwanae.
ninakumbuka siku ya kwanza kuingia bwenini tukakabidhiwa tishu paper basi mimi na mshikaji tukiwa tunatoka bush si tulidhania ni matunda tukapeleka mdomoni ili tule jamaa wacha watucheke.
xule hii noma!.mwalim anampiga mwanafunzi utadhani ana ua nyoka
mhanila wa meta sec
2012-2014
pole dogo naona ndio ilikuwa mwisho wa elimu yako, au? maana posti yako ngumu kusomadah!!mnanikumbushaaaa kitambo sanaaa hiyo shinga sec...ma usangi banaa,TULIKUWAA VIBAKAA SANAA,MAGODORO,MASHUKAAA,BLANGETI TUNAENDAA KUUZA KIJIJINI,day mojaa nikaa ibaa viatu banaa vya bitozii mmoja bana saa chini nilikuwa nimevyaa lapa nilivyo zama dom nikavua lapa nika pigaa viatu malapa nimeshika mkononi naenda mtoni,kufika mtoni nikavua viatu nikavyaa lapa nikazama kijijini kikweni kuuza banaa,hahaha mzee kumbe kuna jamaa mmoja mnoko kinoma aliona tukio lote...kachala na rudi na kama elfu tano,nshakunywaa denge nakuta watu wanadiskasii hiyo issue,kwavile nilikuwa mtemi nika enda kijiji nikaja na sime...nikapanda prepo,saa kumbe wame pangaa tukirudi dom wanianzishie bifu.mwananguu sitasahau...nilipigaaa watu bapaaaaa mbayaaa,dah!!ikawaa mwisho wa kusomaa hapo tenaaa