MatikaC
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,190
- 479
Eban man umenkumbusha mbali ile mbya,mi nlikuw form 1 miaka 12 iliyopita pale Mtwara Tech School,hakuna k2 nlikuwa cpendi kama mchakamchaka, kaka, toilet ndo lilikuwa chaka langu la kuhide,kumbe viranja wakuda wakanshtukia bas cku 1 nko toi naskilizia wana warud msoton kwa mbli nkasikia mayowe,kidume nkasema yes maboya wanarud ngoja nitoke toi nizuge nlikuwa nao,kaka!Ile nafungua mlango 2 si nkakutana na kilanja mmoja hv alikuwa mnoko kama shule ya babake,yule bwna akanipa bonge la konzi alaf kw jnc alvyokuwa na nguv nkahc kama dodo imedondokea kichwan akanchomoa nje nkaruka kifrog frog cha kutosha,khe!hko nje c nkakutana na wadau wengne wny kamchezo kama kangu...Otea nini kilifata
mbavu zangu mieee....
hii ya kudoji mchakamchaka ilinikuta tena nikiwa uchi wa mnyama naoga nyuma ya bweni kwenye ile sehemu ya kufulia nguo. basi nikajificha chini ya uvungu wa masink, i was ki-portable then kwa hiyo niliweza ku-fit. mwenzangu niliyekuwa naye alikuwa tipwa tipwa so akashindwa kujificha huko uvunguni so akaambulia viboko vya mwalimu wa zamu. imagine alichapwa akiwa uchi tena amelowa. ila namshukuru sana hakunitaja maana sijui nigeliaje siku hiyo!