Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,312
Upoooooooooooooooo? Nina mia mbili hapa haina kazi ngoja nikurushie kwa mpesa ukapate hata tunda
Sawa kabisa,nitafurahijeeee...namba yangu ya simu ni +1235006008500
Upoooooooooooooooo? Nina mia mbili hapa haina kazi ngoja nikurushie kwa mpesa ukapate hata tunda
Nicas Mtei yule mama mjamzito alokufungia ndani hadi ajifungue hajakuachia?kimbia kijana acha kulelea mimba za watu
Aisee! Kumbe upo shemeji BAGAH.... Karibu sananamtafuta huyo member aliyenifanyia hii kitu aisee,...
mm nilikuwa mdau mzuri sana wa JF lakini kwa sasa kila nikijaribu kugusa JF humu nateleza, erick b52 na Smiling Saint mnisaidie
huyu jamaa amefika tu anataka kunifanya nikunje uso!!
au Nicas Mtei ni mkunga wa jadi Smile ?
Sawa kabisa,nitafurahijeeee...namba yangu ya simu ni +1235006008500
siwezi hata kuitizama mara mbili,..sijui naifananisha na kitu gani vile??