Truth Teller
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 1,624
- 2,880
Wewe nabii wako si kuhani mussa wa temboni?Manabii wa uongo wapo na wa kweli wapo...
Kazi ipo kwako wewe ambaye unaongozwa na mwili na kukariri neno bila kulifanyia kazi...
Wanaoongozwa na Roho Mtakatifu wanajua Nabii wa kweli na wa uongo...
Yule anayetumia ndoo na kitambaa kutambua wachawi na watesi wenu?
Na wewe umepotezwa naye.