Last time napita hapa it was 1997 vumbi tupu, pembeni ya barabara wamejipanga watu wamevaa mashuka meusi usoni wamejipaka chokaa wanawasubiri wazungu wawape pesa, nilivyofika mto wa mbu nakuta dukani dola ya mmarekani inatumika kama inavyotumika shilingi ya mtz