Newcastle1234
Member
- Oct 29, 2022
- 96
- 199
Eneo linauzwa Goba Njia Nne kwenye lami kabisa. 1000 sqm. Limepimwa. Bei Mil.430.
Contact 0788893364
Contact 0788893364
Mkuu Hela hiyo ni nyingi Sana hiyo sehemu lakini kesho tuwasiliane nije kuliona.Eneo linauzwa Goba Njia Nne kwenye lami kabisa. 1000 sqm. Limepimwa. Bei Mil.430.
Contact 0788893364
Mara ya mwisho niliona ni 110k kwa 1Sqm, na ilikuwa mwaka jana. Linaweza kuwa ni eneo lilipangwa kwa ajili ya kiwanda.430k per SM
Hii ni kubwa mno Goba hakuna thamani kubwa kiasi hicho430k per SM
Nimeona kiwanja kimoja kiko Goba Half London kinaenda 1sqm kwa 200K, siamini kiwanja anahcotangaza ni kwaajili ya matumizi ya makazi itakuwa vile kwa ajili ya vituo vya mafutaHii ni kubwa mno Goba hakuna thamani kubwa kiasi hicho
Kuna sheli pale Goba inaitwa Simba Oil.Nimeona kiwanja kimoja kiko Goba Half London kinaenda 1sqm kwa 200K, siamini kiwanja anahcotangaza ni kwaajili ya matumizi ya makazi itakuwa vile kwa ajili ya vituo vya mafuta
HahaaaKwahyo nikiwa na ka bilion, nikisem ninunue kiwanja na kujenga hapo milion mia 600 inakatika aiee.
Dah kweli inawezekanaKuna sheli pale Goba inaitwa Simba Oil.
Eneo lile lilinunuliwa mwaka 2011, kwa shill mill 100. Ni kama 2,000 sqm.
Sehem nyingne Goba iliyouzwa kwa bei kubwa ni pale ilipikuwa Lastanza Bar Zaman .nasikia imeuzwa Mill 400 kwa boss wa Kitambaa cheupe. Jesca. (Ashamaliza kujenga mjengo wa ghorofa 4)
Kuna sehem Mwamposa kanunua kabla ya Goba center kanunua Mill 800. Mbele kidogo ya eneo analomiliki Marehemu Mama Rwakatale(anazo hela 3 ). Iko barabaran 2,000 sqm.
Kwahiyo inawezekana mtoa mada anasema taarifa sahihi.