Kutoka ferry ni km 14 hivi na pia kutoka barabara ya lami mpk kufika eneo husika ni km 1 pia barabara za kawaida zipo mpk kwenye eneo zipo tofautiNaomba kujua exactly umbali kutoka ferry ni km ngapi ? Barabara kufika hapo ipo umbali gani ?
Heka 600 ni sawa sawa na 1km, hicho nikijiji kabisa, mtu mwenye uwezo wakumiliki kijiji iko wapi kwa tz ya Meko hi, mtu awekeze, kesho anyang'nywe usalama wa pesa za watu ni mdogò.Wadau jf habari za humu ndani kuna eneo kigamboni linauzwa gezaulole lina ukubwa was heka 600 kwa wawekezaji au watu makampuni ya kupima viwanja na kuuza fursa hii au makumpuni makubwa kuweka kiwanda
View attachment 1675313
Kweli wewe ndio wa kufanya hivyo ! ! kwa nini usifanye ?Unaweza kununua ukakata viwanja na kuunza kufanya biashara kidogo kidogo
Huku kumenoga zaidi:Wadau jf habari za humu ndani kuna eneo kigamboni linauzwa gezaulole lina ukubwa was heka 600 kwa wawekezaji au watu makampuni ya kupima viwanja na kuuza fursa hii au makumpuni makubwa kuweka kiwanda
Bado lipo?Eneo linafaa pia kwa viwanda