MPENDA USAWA
Senior Member
- Oct 15, 2012
- 169
- 29
emmy mwamgiga ni vice president katika serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam(daruso).kitu ambacho kinanifanya niwe na wasiwasi juu ya uwepo wake hapo ni kutokana na kutumia pesa nyingi katika kukitafuta cheo hiko..kwa makadilio ya harakaharaka mdada huyu ametumia zaidi ya milioni 10 katika kukipata cheo hiki maulizo mengi yametawala ubungo wangu la kwanza ni hili je mdada huyu ametoa wapi pesa zote hizi??? La pili je na kama zimetoka katika mfuko wake je daruso kuna nini mpaka awekeze pesa zote hizi?? Na je pesa zote alizowekeza atazirudisha kwa njia gani......aiseee napata wasiwasi kuona hali kama hii!!!hizi ni dalili za ufisadi tena katika ngazi ya chini kabisa je mtu kama huyu anatoa mfano gani kwa jamii???aisee kuna haja ya kupigania hili kuanzia katika level ya chini mpaka ya juu!!!