Emmanuel Mbasha, ni nani alikuroga?

Emmanuel Mbasha, ni nani alikuroga?

hongera mbasa.
japo wasojua maana halisi ya ndoa hasa ya kikristu watakubeza sana.umetimiza wajibu wako mengine muachie mungu ahukumu yy.
wajibu wako ni samehe tu,hayo mengine si wajibu wako ni wa mungu.
safi sana na hiyo ndo tafsiri sahihi ya kuhubiri injili kwa vitendo na kujitwika msalaba wako kumfuata kristu.km mnalitazama jambo hili kimtaani zaidi mtamuina jamaa mjinga.lkn jamaa kamuaibisha shetani sana kwa kufanya hivi

Unafurahia ujinga kwanini? Hivi nyie watu wengine akili zenu huwa zime crack? Flora ni mzinzi na msaliti hatari,eti ndoa ya kikristo,ni wapi wakristo waliruhusiwa kukaa na wanawake wazinzi? Hebu soma mathayo 5:32.Nyie ndo wauaji wakubwa janamke bovu lile ni la kuishi nalo hilo? Wewe ni punguani kama mbasha.
 
Msiingilie ndoa iliyofingwa na Mungu. Waacheni wenyewe waamue. Hayo mengine ni changa moto za kimaisha tu.

Hivi nyie huwa mnambahatisha Mungu eti? Mungu si wa mchezo hata kidogo,ndoa iliyopangwa na Mungu haiwezi kuwa ya kishenzi hivyo,maana Mungu ni Mungu ni mtakatifu sana na baraka zake ni za kipekee kabisa,hiyo ndoa ya shetani,MUNGU anawezaje kukupa mwanamke anayetaka ufie jela?nyie walokole wengine huwa ni mafyatu.
 
Unafurahia ujinga kwanini? Hivi nyie watu wengine akili zenu huwa zime crack? Flora ni mzinzi na msaliti hatari,eti ndoa ya kikristo,ni wapi wakristo waliruhusiwa kukaa na wanawake wazinzi? Hebu soma mathayo 5:32.Nyie ndo wauaji wakubwa janamke bovu lile ni la kuishi nalo hilo? Wewe ni punguani kama mbasha.

tatizo haujui neno na maagizo ya mungu ila umekarili vimstari tu.kusamehe ni kumpendeza mungu.ref.utusamehe makosa yetu km na ss tunavowasamehe walotukosa,kiwango unachosamehe ndo kiwango utasamehewa ww.km hautendi dhambi haupaswi kusamehe lkn km unatenda dhambi usiposamehe na ww mungu hakusamehi.jiulize ni dhambi ngapi umetenda na ukasamehewa na mungu.
kuhusu uzinzi ww si mzinzi?.na hajawahi kuzini?.tambua mbele ya mungu uzinzi ni zaidi ya kujamiiana.
kwa nn uhukumu wakati ww pia mzinzi.
ref:ambae hajawahi tenda dhambi hii na awe wa kwanza kumpiga mawe mzinzi huyu,km unaujua mstari huu nadhani jibu unalo.kiapo chake ilikuwa ni kifo tu kitatutenga,na aliapa kwa mungu si kwa mwanadamu.hivo anatimiza kiapo mengine mungu atagukumu.
kuhusu uzinzi unaosema wa froly vp kuhusu mkeo unahakika si mzinzi?na je mama ako dada ako ama baba ako?,vp nao umewahi kuwakashifu?.
uzito wa dhambi ya mtu (frola)anaujua mungu.ss tunaeza kazana kumhukumu mtu lkn mwisho wa siku kiama tukamkuta mtu huyo yupo peponi maana yamkini akatubu na kujuta akabadilika wakati ss badala ya kutubu tukajisahau na kujiona tupo sahihi mwisho tukaja kuhukumiwa.
unapata faida gani kiroho kwa kukosoa na kukashifu wanaotenda dhambi wakati na ss ni wadhambi?.jifunze kujua mapenzi na matakwa ya mungu na si kukariri dini.jiulize hivi mbasha kusamehe inampendeza mungu ama inamchukiza mungu?.
km unaongelea kwa akili finyu za kitoto gongo viroba na bangi za kijinga za mtaani basi upo sahihi hata mm nakuunga mkono.lkn km ni kwa mtazamo wa muonekano wake kwa mungu u r tottaly wrong.
 
Unafurahia ujinga kwanini? Hivi nyie watu wengine akili zenu huwa zime crack? Flora ni mzinzi na msaliti hatari,eti ndoa ya kikristo,ni wapi wakristo waliruhusiwa kukaa na wanawake wazinzi? Hebu soma mathayo 5:32.Nyie ndo wauaji wakubwa janamke bovu lile ni la kuishi nalo hilo? Wewe ni punguani kama mbasha.
Mzinzi ulizini nae !!??? Wee ni nani mpaka uhukumu pasipo ushaidi !!!
 
ulITAKA AKUOE.WEWEE??UKOOWAO.AUNAHAKO KAMCHEZO WE KoMAA.NA.MIZIGOYAKOYA SINZA

Wewe shoga la dar uliyeishia darasa la pili nitolee ushoga wako hapa! Mimi si hayawani na punguani kama mlivyo nyie wanaume wa dar,sisi wanaume wa bara ni marufuku kuishi na gumegume kama flora,ulivyo punguani unadhani nina akili ndogo kama zako,tena unikome kama ulivyokoma...Nyie mmezoea ku share wanawake halafu mnajifanya eti watoto wa mjini,kumbe mabazazi washamba kupindukia,kwanza umetembea nchi ngapi kenge wewe? Una shule gani? Dar nao ni mji? Pumbafu mwanaharamu usiingie tena anga zangu,eti unajiita pdiddy,pdiddy unadhani anaishi kwenye kipindupindu kama wewe shoga,na ----- hayawani?
 
Unafurahia ujinga kwanini? Hivi nyie watu wengine akili zenu huwa zime crack? Flora ni mzinzi na msaliti hatari,eti ndoa ya kikristo,ni wapi wakristo waliruhusiwa kukaa na wanawake wazinzi? Hebu soma mathayo 5:32.Nyie ndo wauaji wakubwa janamke bovu lile ni la kuishi nalo hilo? Wewe ni punguani kama mbasha.

Hivi mkuu ni kweli Flora alimsaliti mumewe na Gwajima au ni story tu? unajua me siamini adi leo hivi kumbe hii kitu ni seriouz
 
Hivi nyie huwa mnambahatisha Mungu eti? Mungu si wa mchezo hata kidogo,ndoa iliyopangwa na Mungu haiwezi kuwa ya kishenzi hivyo,maana Mungu ni Mungu ni mtakatifu sana na baraka zake ni za kipekee kabisa,hiyo ndoa ya shetani,MUNGU anawezaje kukupa mwanamke anayetaka ufie jela?nyie walokole wengine huwa ni mafyatu.

makosa ndani ya ndoa yapo na si kwa frola tu hata mbasha ana yake na makosa ndani ya ndoa ni zaidi ya uzinzi.hakuna mtu mkamilifu kwa kiwango cha utakatifu wa kulinganisha hata na ukucha wa mungu.mungu huruhusu majaribu ili kupima uaminifu wetu kwake.soma neno bila kukarili wala kubagua mistari utaona vile majaribu kwe ndoa yalikuwepo.timiza wajibu na kiapo chako kwe ndoa.makosa ya mwenzako mungu anajua afanye nn.km kila mgogoro ndani ya ndoa ni kipimo cha mungu kutobariki ndoa basi hakuna ndoa ilio chaguo la mungu maana ndoa zoooooote zinamajaribu.
majaribu ni lazima uwapo duniani.
acha kuwa na akili za mtaani afu ulazimishe juwa ndo ukwelu wa mungu.
kanuni ya mungu ipo wazi.hausamehi hauna haki ya kusamehewa.bro haujui sana kuhusu ndoa za dini wwe unajua sana kuhusu ndoa za bomani.
jiulize kitu.unajua ya frola sana kuliko mbasha?.unajuaje km na mbasha anayi meeeeengi ya hivo na hivo kaamua kusamehe ilu na yy mungu amsamehe yake?.unajua raha na thamani ya ndoa ya mbasha kuliko mbasha mwenyewe?.
na je kumsamehe frola ni chukizo ama baraka mbele ya mungu?.acha kuyaangalia mambo yamhusuyo mungu kwa jicho la kibinadamu na kwa akili za moshi wa bange.
si kila anaehua kamstari ka biblia basi anajua mapenzi ya mungu.soma historia ya suleyman,pamoja na kuchaguliwa na mungu na kupakwa mafuta na mungu angalia makosa na maasi alotenda.alidhurumu mke wa mtu na akamuua mumewe lkn mwisho wake ilikuaje alipotubu.acha kuaminisha upofu wako wa imani kuwa ndo nuru.fanya usgauri wako kwe ndoa za bomani.
 
Ya Ngoswe mwachie Ngoswe mkuu.

Hakikisha unalinda kadi yako ya kura na siku ikifika ukawapigie wagombea wa UKAWA kwa mustakabali mzuri wa taifa letu.
Umevamia kijiwe cha watu huku!Wengine tumewaachia makelele kule mnakuja kuharibu starehe zetu na wakawaida wenu!
 
Umeshasema mapenzi ni ya wawili we unaingilia ili iweje? Waache wanandoa watayamaliza wenyewe
 
Dogo amezoe kulishwa tu....hana jingine ajifunze kutafuta pesa yake! bado kijna mdogu tu kwanza!! Miaka 32..apambane na maisha atapa mke mwingine wa maana huku yeye akiwa na mpunga wa kutosha!
 
Mkuu mbona umeandika kwa uchungu sana?, wewe ulitaka amuache mkewe?, unasema kwamba Flora alitaka aozee jela wewe ulitaka Fora afanye nini wakati aliyedaiwa kubakwa ni mdogo wake?, ungekuwa wewe ungefanya nini?. Flora alitimiza matakwa ya kisheria na ndo maana baada ya Mahakama kuona hana hatia Flora alimpongeza na akasema bayana kuwa yupo tayari kurudiana na mumewe. Mimi nilichojifunza hapa ni kwamba kama Fora angemtetea Imma bila suala hili kupelekwa katika vyombo vya sheria angetengeneza mgogoro mkubwa na familia yake. Kwa maoni yangu mimi hawa wanandoa kama wamesameheana ni jambo jema sisi tulio pembeni tusichochee kuni wakati inawezekana ndoa zetu zina matatizo zaidi ya hayo.

Mkuu
Kumbuka flora ndo alikuwa shahidi Namba moja kukiri kuwa mbasha kabaka,
 
Ndoa na mapenzi ni mambo ambayo mara nyingi huwa hayaingiliwi,yametawaliwa na msemo kuwa'mapenzi ni wawili tu akiongezeka wa tatu ni mchawi',lakini pia huwa inapobidi watu wanaingilia hasa pale wahusika au mhusika mmoja anapovuka mstari mwekundu,

Hakuna asiyejua sakata la mbasha na mkewe flora,huyu jamaa alituhumiwa kumbaka shemeji yake,mmoja wa shahidi muhimu upande wa mashtaka alikuwa mkewe flora,ina maana flora alitaka mumewe aozee jela,na kweli wakati kesi ikiendelea flora alienda mahakamani na kutoa ushahidi wa kumkandamiza mumewe ili afungwe,

Mungu mkubwa hukumu ilipotoka mbasha kashinda kesi na sasa yupo huru,kilichoshangaza umma wa watanzania ni kauli ya mbasha kuwa bado anampenda sana mkewe flora na yupo tayari kuendelea kuishi nae,najiuliza kwa vitendo vyote alivyotendewa na huyo mwanamke bado anampendea nini?Huyu jamaa alirogwa?

Amerukwa na akili? Unampendaje mwanamke aliyetaka uozee jela? Watu wa karibu na mbasha msaidieni huyu jamaaa maana anakoelekea ni kutafuta kifo,msimcheke pls msaidieni tu.
Karogwa na Gwajima.
 
Back
Top Bottom