Emmanuel Mbasha, ni nani alikuroga?

Emmanuel Mbasha, ni nani alikuroga?

Mleta uzi acha unoko ulitaka amwache akuoe wewe??

Minaume mingi ya kitanzania ni majuha sana sijawahi kuona,kwa hiyo ni halali kukaa na mwanamke anayeka ufungwe? Hivi umelelewa wapi ngedere wewe? Na hapo ulipo ni lazima una mwanamke kahaba na huwezi kumwacha ulivyo juha mtozeni,badala ya kujenga hoja unakuja na matusi.
 
Ndoa na mapenzi ni mambo ambayo mara nyingi huwa hayaingiliwi,yametawaliwa na msemo kuwa'mapenzi ni wawili tu akiongezeka wa tatu ni mchawi',lakini pia huwa inapobidi watu wanaingilia hasa pale wahusika au mhusika mmoja anapovuka mstari mwekundu,

Hakuna asiyejua sakata la mbasha na mkewe flora,huyu jamaa alituhumiwa kumbaka shemeji yake,mmoja wa shahidi muhimu upande wa mashtaka alikuwa mkewe flora,ina maana flora alitaka mumewe aozee jela,na kweli wakati kesi ikiendelea flora alienda mahakamani na kutoa ushahidi wa kumkandamiza mumewe ili afungwe,

Mungu mkubwa hukumu ilipotoka mbasha kashinda kesi na sasa yupo huru,kilichoshangaza umma wa watanzania ni kauli ya mbasha kuwa bado anampenda sana mkewe flora na yupo tayari kuendelea kuishi nae,najiuliza kwa vitendo vyote alivyotendewa na huyo mwanamke bado anampendea nini?Huyu jamaa alirogwa?

Amerukwa na akili? Unampendaje mwanamke aliyetaka uozee jela? Watu wa karibu na mbasha msaidieni huyu jamaaa maana anakoelekea ni kutafuta kifo,msimcheke pls msaidieni tu.

Na kama alibaka kweli je? Unajuaje kama mkewe alitoa ushahidi wa kufunika ukweli ili mumewe alone asifungwe? Haya mambo tuwaachie watu wa magazeti ya udaku
 
Huyo ni Marioo katika ubora wake anategemea kutunzwa na Mwanamke, Amejiloga mwenyewe.

Mwanamke anayetaka uozee jela pia anaweza kukuua muda wowote.
 
mi yeyote atakaetaka kunifunga jela hata kama ni ndugu yangu siku hiyo hiyo undugu unaishaa, jela sio kuzuri ..........huyo jamaa ni mgonjwa wa akili akapimwe.
 
Back
Top Bottom