Emmanuel Mbasha, ni nani alikuroga?

Emmanuel Mbasha, ni nani alikuroga?

Lazima ampende maisha ya mjini yaendelee. Lakini huyu jamaa ni bure kabisa. Mwanamke akusaliti ukiona, akutengenezee kesi ya ubakaji na bado uendelee kumng'ang'ania? Bure kabisa kama mavi ya kuku
 
jamaa mjanja anajua akikubaliwa sasa atakula wote wawili ki halali kabisa.teh teh teh
 
Ndoa na mapenzi ni mambo ambayo mara nyingi huwa hayaingiliwi,yametawaliwa na msemo kuwa'mapenzi ni wawili tu akiongezeka wa tatu ni mchawi',lakini pia huwa inapobidi watu wanaingilia hasa pale wahusika au mhusika mmoja anapovuka mstari mwekundu,

Hakuna asiyejua sakata la mbasha na mkewe flora,huyu jamaa alituhumiwa kumbaka shemeji yake,mmoja wa shahidi muhimu upande wa mashtaka alikuwa mkewe flora,ina maana flora alitaka mumewe aozee jela,na kweli wakati kesi ikiendelea flora alienda mahakamani na kutoa ushahidi wa kumkandamiza mumewe ili afungwe,

Mungu mkubwa hukumu ilipotoka mbasha kashinda kesi na sasa yupo huru,kilichoshangaza umma wa watanzania ni kauli ya mbasha kuwa bado anampenda sana mkewe flora na yupo tayari kuendelea kuishi nae,najiuliza kwa vitendo vyote alivyotendewa na huyo mwanamke bado anampendea nini?Huyu jamaa alirogwa?

Amerukwa na akili? Unampendaje mwanamke aliyetaka uozee jela? Watu wa karibu na mbasha msaidieni huyu jamaaa maana anakoelekea ni kutafuta kifo,msimcheke pls msaidieni tu.
Msiingilie ndoa iliyofingwa na Mungu. Waacheni wenyewe waamue. Hayo mengine ni changa moto za kimaisha tu.
 
Mapenzi ya wanandoa ni tofauti na ufikiriavyo. Utashangaa soon wanarudiana. Mungu ni mwema

Kwa mchafuano waliofanya, kama wakirudiana sijui wataanzaje kufanya tendo la ndoa. Flora kama anajitambua sidhani kama atakubali kurudiana.
 
Ndoa na mapenzi ni mambo ambayo mara nyingi huwa hayaingiliwi,yametawaliwa na msemo kuwa'mapenzi ni wawili tu akiongezeka wa tatu ni mchawi',lakini pia huwa inapobidi watu wanaingilia hasa pale wahusika au mhusika mmoja anapovuka mstari mwekundu,

Hakuna asiyejua sakata la mbasha na mkewe flora,huyu jamaa alituhumiwa kumbaka shemeji yake,mmoja wa shahidi muhimu upande wa mashtaka alikuwa mkewe flora,ina maana flora alitaka mumewe aozee jela,na kweli wakati kesi ikiendelea flora alienda mahakamani na kutoa ushahidi wa kumkandamiza mumewe ili afungwe,

Mungu mkubwa hukumu ilipotoka mbasha kashinda kesi na sasa yupo huru,kilichoshangaza umma wa watanzania ni kauli ya mbasha kuwa bado anampenda sana mkewe flora na yupo tayari kuendelea kuishi nae,najiuliza kwa vitendo vyote alivyotendewa na huyo mwanamke bado anampendea nini?Huyu jamaa alirogwa?

Amerukwa na akili? Unampendaje mwanamke aliyetaka uozee jela? Watu wa karibu na mbasha msaidieni huyu jamaaa maana anakoelekea ni kutafuta kifo,msimcheke pls msaidieni tu.

Kwa hiyo hujui maana ya mume bwwege----?
 
hongera mbasa.
japo wasojua maana halisi ya ndoa hasa ya kikristu watakubeza sana.umetimiza wajibu wako mengine muachie mungu ahukumu yy.
wajibu wako ni samehe tu,hayo mengine si wajibu wako ni wa mungu.
safi sana na hiyo ndo tafsiri sahihi ya kuhubiri injili kwa vitendo na kujitwika msalaba wako kumfuata kristu.km mnalitazama jambo hili kimtaani zaidi mtamuina jamaa mjinga.lkn jamaa kamuaibisha shetani sana kwa kufanya hivi
 
hongera mbasa.
japo wasojua maana halisi ya ndoa hasa ya kikristu watakubeza sana.umetimiza wajibu wako mengine muachie mungu ahukumu yy.
wajibu wako ni samehe tu,hayo mengine si wajibu wako ni wa mungu.
safi sana na hiyo ndo tafsiri sahihi ya kuhubiri injili kwa vitendo na kujitwika msalaba wako kumfuata kristu.km mnalitazama jambo hili kimtaani zaidi mtamuina jamaa mjinga.lkn jamaa kamuaibisha shetani sana kwa kufanya hivi

Gwajma akisoma hili andiko lako atakucheka sana..maana hujui ulisemalo
 
Gwajma akisoma hili andiko lako atakucheka sana..maana hujui ulisemalo

hakuna ujanja mkubwa duniani km kufanya mapenzi ya mungu na hakuna ujinga mkubwa km kufanya mapenzi ya binadamu.
ufahamu wako bado mdogo sana.
gwajima ni nani ktk kufanya mapenzi ya mungu.gwajima ni km mwanamazingaombwe tu.hivo hapaswi kulinganishwa kwa chochote mtu anapotaka kumpendeza mungu.acha kuwa lofa kiroho
 
Mmh! Sio kwamba si amini katila upendo au katika kusamehe na kusahau, ila kwa knowledge yangu ndogo Wanaume huwa wana kisasi flani cha kukomoa. Ina wezekana wakarudiana na Flora akiaha jisahau na kurudisha upendo wake wote Jamaa naye ana mtema ili na yeye asikie machungu ya kusalitiwa. So Flora must take one stape at a time na atafakari na kuomba sana. Ila for the timebeing wanaweza kuanza kwa kuwa Marafiki tu.
 
daah huyo kashapigwa libwata la kimanyema.. hata akishikwa makalio yeye ataona poa2
 
upendo wa kweli huvumilia, hauhesabu mabaya, hauna sababu, husahau yote, hauishi moyoni milele, hauna unafiki!!! yereeeee uwiiiiiiii Mbasha amependa kikweeee kikweliiiii

Chezea maloveee weyeee acha kabisaaaa
Khaa!! Mapenzi two way trafic vinginevyo ni ujinga :cool2:
 
Back
Top Bottom