Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 1,052
- 2,590
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣 alikua anachat kwa kujiachia mkuu.Duuh! Mie nilijuaga humu hamna wale wapiga chabo Mkuu. Lol.
🤣🤣🤣 alikua anachat kwa kujiachia mkuu.Duuh! Mie nilijuaga humu hamna wale wapiga chabo Mkuu. Lol.
Yah ila nyash isiwe kubwa sana mkuu, type ya sanchoka hapana.Mkuu kwako kipaumbele ni awe mkali na awe na BIG NYASH
Hawa si ndio watobowa nyavu kwenye vilodge umiza vya uswahilini?Duuh! Mie nilijuaga humu hamna wale wapiga chabo Mkuu. Lol.
Sawa Mkuu.🤣🤣🤣 alikua anachat kwa kujiachia mkuu.
Kabisa mkuu ila nahisi nivyema zaidi mkawa mnatuambia tunapokua pamoja issue kama hizo, through sms sidhani kama ni better way.Sawa Mkuu.
Japo sio mbaya kwani huu ujumbe wako utawafikia na wale kina emma wa jf.
😂😂 inawezekana hivi viumbe vina strategies nyingi.Alikuachia uome ili uingie kingi,aliona hujamuaprochi akaanza kumkandia mpenziwe
Na ukipitaga maeneo yale karibia kila dirisha basi kwa pembeni nyavu imechanwa.Hawa si ndio watobowa nyavu kwenye vilodge umiza vya uswahilini?
Fact mkuu, sema kuambia na dem humridhishi kunauma.Emma kachelewa kujibu maana huko alipo alikuwa busy anagombana na muuza puturuu wake kuwa anamuuzia mzigo feki.
Vijana wengi siku hizi wanafeli sababu ya kutengeneza mazingira makubwa sana kuliko uhalisia wao.
Unakuta kijana hana gari lakini ili kumu impress demu anaenda kuazima gari, akiombwa pesa na mwanamke hata kama hana anaenda kukopa na ili aonekane shabab anatumia booster kibao.
Kinachotokea sasa, siku ya kwanza anapiga show ya kibabe mno kwa msaada wa supu ya pweza, energy, mkongo, mihogo na karanga mbichi. Ikitokea mbeleni kwenye mahusiano akakosa booster uhalisia wake unajitokeza kujumlisha na athari ya ma booster anaishia kukojoa ndani ya sekunde tu.
Asilimia kubwa ya vijana wa sasa hawawezi kupiga show ya kustukizwa, lazima wajiandae kama wanaenda vitani. Akishtukizwa ndio inakuwa fedheha.
Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikua busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma siku hizi umekua mzembe sana yani kimoja kweli? Siridhiki ujue" asee nilijisikia vibaya kinoma mpaka tunafika mwisho wa safari emma alikua bado hajajibu sms. Tufanyeni mazoezi waku
Sidhani km kimoja ni shida,shida ni kinachukua muda gani, maana kuridhishwa kwa hawa wenzetu ni kufika mshindo sio raundi za game 😊Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikua busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma siku hizi umekua mzembe sana yani kimoja kweli? Siridhiki ujue" asee nilijisikia vibaya kinoma mpaka tunafika mwisho wa safari emma alikua bado hajajibu sms. Tufanyeni mazoezi wakuu😂.
Kweli mkuu, ila kwa nilivyokiona kile didada labda upige masaa mawili na kuendelea.Sidhani km kimoja ni shida,shida ni kinachukua muda gani, maana kuridhishwa kwa hawa wenzetu ni kufika mshindo sio raundi za game 😊
EwaaaKimoko cha mkwezi, kwa afya yako.
Ndio ushapigwa chaboDuuh! Mie nilijuaga humu hamna wale wapiga chabo Mkuu. Lol.