Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Haya sasa!! Hawa ndio watoto wetu!!! Je ni kweli kizazi cha NYOKA?? Mimi sitii neno hapa, Jionee mwenyewe LIVE! tena bila chenga halafu uniambie umeona nini.
Last edited by a moderator:
it reads this video is currently unavailable
Haya sasa!! Hawa ndio watoto wetu!!! Je ni kweli kizazi cha NYOKA?? Mimi sitii neno hapa, Jionee mwenyewe LIVE! tena bila chenga halafu uniambie umeona nini.
How comes? unatumia nini kuangalia hii video?
Watoto wanafundishwa mambo mabaya wangali watoo ili wakiwa wakubwa wawe Ma Super STar Ahhh huo ndio Ustaarabu wa Kimagharibi tunaoufuata tumeacha Tabia zetu tunafuata tabia za Wazungu Kasheshe kweli dunia yetu kwa kuiga sisi Wafrika mwisho........ young_Master
Yesuuuuuuuuuuuuuuuuu, ni nini hiki. mamaaaaaaaaaaaaa DUNIA IMEKWISHA...... God forbid mwanangu asifikie haya madoudou make nahisi hiko kishichana haka miaka 15 bado... but kishaanza mambo hayo!!!!!!!! Young_Master we unaonaje ni sawa ama mbona hujatia neno? Afu hao wakubwa zima wanashabiakia ujinga!!!!!!!!
Yaani ni jambo la kushangaza
maana hao watoto wameyaona kwa wazazi au kaka au dada zao wanafanya hayo
ina maana kama karuhusiwa kwenda disco na wazazi wake usitarajie jipya hapo
Malezi ni kitu kikubwa sana ila watu wanakichukulia so simple wanaacha house girl au house boy kuyafanya na matokeo yake ndio haya
Wazazi wako busy kutafuta pesa ila malezi wanasahau au wanasahau hizo pesa atatumia nani kama mtoto kashakuwa au kufikia hapo
You are 100% right Mr Rocky. So ungependa kuwashauri nini wazazi wenye tabia kama hizi?