Ushasahau mi ni kajukuu ka mtume? Hukumbuki nilikuambia ningekufumania kwenye masantula???Hahahahaa kuolewa na mtu aliyeachana na mkewe kuna raha zake na karaha zake, hasa mke japo kaachika najua atanisumbua tuu maana James ni mcharoooo nahisi atakuwa anatamani kurudiana na James ila ndo hivoo .........
Halafu kwani babu wewe ulishasomea utabiri? Au James alikunong'oneza alichoniambia kuhusu oktoba? Mmmh umejuaje hii habari ya oktoba?
Kwa taarifa yako, sherehe za Valentino zimefutwa.Hahahahaaa sasa wewe babu nawe unataka kumwaga mchele upenuni na kuku ndo hao wanadonoa donoa hehehehe
Kwani hujui kesho kuna tukio gani? Na haswa Daslam hiyo siku ya kesho inaadhimishwa mno kwa gharama kubwa kuwaweka wapendanao karibu........
Naibia siri..... sogea nikunong'oneze wengine wasisiskie. ..... James kaja mahsusi ili anipe mshangazo siku ya kesho hapa nilipo nimejiloweka kwenye jacuzzi kusubiria hiyo kesho 😛😛
Tena usiongee kwanguvu Magu akatoa tamko kuwa kesho atakayeonekana anaadhimisha siku hiyo anaswekwa ndani nikakosa mshangao kutoka kwa James.
Kimeo kikojoleo chako.... ntakutia bakora ukirudia kunizalilisha mbele ya jamiiBabu mwenyewe kimeo huyu
Iloooh.... Kimeo weweKimeo kikojoleo chako.... ntakutia bakora ukirudia kunizalilisha mbele ya jamii
Malabuku zako na robo. Ngoja nikufuate wozap nikutukane matusi ya nguoni kwa kilugha chenu....Iloooh.... Kimeo wewe
Ha haa utamkuta Ngabu huko,utakoma mwenyeweMalabuku zako na robo. Ngoja nikufuate wozap nikutukane matusi ya nguoni kwa kilugha chenu....
Ndo ukome...
Skendo zote hizi, hii ni dalili una nyota ya siasa. Fanya mpango ugombee ubunge.Ah wapi!
Nshazoea.
Kuna wengine wanaamini mimi naitwa Richard Mugizi na 'ushahidi' wanao.
Wapo wanaoamini mimi ni nina miaka 59, 62, 69, na kadhalika, na 'ushahidi' wanao.
Wengine wanaamini mimi namiliki 'ma apartments' huko Msasani, Masaki, na Mtwara huko kwa Dangote' na ushahidi wanao.
Hivyo kusema ukweli nshazoea.
Ngoja tu nitulie nione kitachojiri ingawa nina wasiwasi tayari nimesha ki-preempt.....
Fanya fasta basi Kasie tangu jana twasubiri ujue
Kumbe James anajua ki-Nyerere??Hahahahaaa ngoja ngoja yaumiza matumbo eeh
Japo naingia humu naandika haya niko na James hapa tutaongea mengi tuu mrejesho ni mrefu. Na anasoma kila nnachoandika hapa. Amesema anataka kuleta mrejesho yeye mwenyewe hivo vumilieni tuu. Mie mbona sio mchoyo wa habari atawasimulieni kila kitu. Tutarejea baadae naona maongezi yakanoga na maandalizi na mipango ya kesho. .... hata napata wasiwasi kama jumatatu ntaweza kwenda kazini.
Kwa taarifa yako, sherehe za Valentino zimefutwa.
Pole sana kitumbua cha Kasie.....😀😀😵
Ha haaa can't wait kwakweli.... Huo mrejesho ataweka kwa I'd hii yako amaHahahahaaa ngoja ngoja yaumiza matumbo eeh
Japo naingia humu naandika haya niko na James hapa tutaongea mengi tuu mrejesho ni mrefu. Na anasoma kila nnachoandika hapa. Amesema anataka kuleta mrejesho yeye mwenyewe hivo vumilieni tuu. Mie mbona sio mchoyo wa habari atawasimulieni kila kitu. Tutarejea baadae naona maongezi yakanoga na maandalizi na mipango ya kesho. .... hata napata wasiwasi kama jumatatu ntaweza kwenda kazini.
Khaa... Nahisi kadalili ka wivu kameanza kuninyemelea. Hivi yule mdogo wako ulishampa salamu zangu?Msukuma huyu anajua lugha kama 4 hivi kisukuma na kiswahili kikiwemo achilia mbali kilugha cha kijeshi. Alinikosha zaidi aliponisalimia kwa kinyamwezi, ni mtundu hadi raha.
Haya mambo yetu sie vijana tunayaelewa we bibi keti kibarazani subiria shikamoo kutoka kwa wajukuu zako.....utaibika bureeHakuna mwanajeshi Mtanzania wa jina la James anaweza kuwa jeshini Jeddah, Saudi Arabia. Labda awe na uraia wa USA na awe jeshi la USA lililopo Saudi Arabia tenaa jeshi la USA halipo Jeddah au awe ni mercenary, na mercenary hata siku moja hawezi kujijulisha kuwa yeye ni jeshi.
Au sana sana kama yupo Jeddah ni korokoni wa shopping mall kwa kupitia njia za Abbas Mtemvu.
Changa la macho.
Ha haaa can't wait kwakweli.... Huo mrejesho ataweka kwa I'd hii yako ama