Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,836
kiingereza ni nini mbele ya kuongea kiswahili fasaha gentleman? utumwa wa kifikra ni kitu mbaya sana aise

kiingereza ni nini mbele ya kuongea kiswahili fasaha gentleman? utumwa wa kifikra ni kitu mbaya sana aise

Akili yako ndo ya kupima! Umewahi kufanya utafiti kujua ni wanazuoni wangapi wa kiwango cha ubobezi ambao wanatoka katika mataifa ambayo kiingereza si lugha yao mama na bado wakafanikiwa sana kwenye maeneo yao ya umahiri? Amka dude..kiingereza ni lugha tu kama kimakua,kindali na kisambaa!
Kwa Tanzania Proffessor ni lazima ajue Kiingereza vizuri kwakuwa wanasomea kwa lugha hiyo.
ecademic qualification haiwezi kukufanya uwe na ujuzi mzuri wa kuongea ngeli ya hadharani (verbal communication skills)Kuna Clip inasambaa mitandaoni ikimuonesha prof Mmoja akiongea kiingerereza kibovu.
Tuwe serious na aliwahi kutokea jamaa mwingine aliyekua Dr huyu nae kiingereza alikuwa hajui kabisa.
Nina mashaka.
hata ukisoma level zote kwa kiswahili, unaweza ukawa na poor verbal and written swahili skillsMleta mada ana hoja asikiizwe. HAIWEZEKANI USOME KIINGLISH TOKA UKIWA DARASA LA 3 HADI LEVO YA UDOKTA AU PhD halafu ni mbongo na et hujui hiyo lugha mleta mada usikilizweee
Ona huyu mbumbumbu bado anajua kuongea kiingereza ndio Elimu. Watu wa aina hii ndio mtaji mkubwa wa Braza KKuna Clip inasambaa mitandaoni ikimuonesha prof Mmoja akiongea kiingerereza kibovu.
Tuwe serious na aliwahi kutokea jamaa mwingine aliyekua Dr huyu nae kiingereza alikuwa hajui kabisa.
Nina mashaka.
Kama mleta mada anasema hivyo basi yeye ndio muongo kwa sababu haiwezekani uweze kufika level hiyo ya elimu halafu et uwe hujui lugha iliyokuwa inayotumika kufundishiwa.Mleta mada ana hoja asikiizwe. HAIWEZEKANI USOME KIINGLISH TOKA UKIWA DARASA LA 3 HADI LEVO YA UDOKTA AU PhD halafu ni mbongo na et hujui hiyo lugha mleta mada usikilizweee
kiswahili chenyewe hatuko vizuri kuongea na kukiandika vizuri, je ni ujanja na kuwa proficiency njema ya lugha ya kigeni ambayo ni wachache sana wanielewa?.. hiyo ngeli kwa TZ ilikuwa ni academic tool tu.Mnaleta uharo tu kujustify ujinga, proesaf hata awe wa kiswahili anaprofess nini sasa kama hajui lugha zingine za kimataifa? Ujinga tu umetukalia kutafuta sababu za kujitetea kulinda upumbavu wetu! So kama ni profesa wa kiswahili akikutana na profesa wa English akajifiche chooni? Na hayo malinguistics na masemantics anajifunza kutoka kwa msukuma (Mb) then afundishe watoto wetu? Kweli ujinga mzigo mkubwa sana na uapodomia hautatuacha (Mtikila C., N.D)
Kwani kingereza ndio elimu? Huu utumwa wa fikra mtaacha lini?Kuna Clip inasambaa mitandaoni ikimuonesha prof Mmoja akiongea kiingerereza kibovu.
Tuwe serious na aliwahi kutokea jamaa mwingine aliyekua Dr huyu nae kiingereza alikuwa hajui kabisa.
Nina mashaka.
Prof WA nchini?Maana KIINGEREZA sio guarantee ya Mtu kuwa vzrKuna Clip inasambaa mitandaoni ikimuonesha prof Mmoja akiongea kiingerereza kibovu.
Tuwe serious na aliwahi kutokea jamaa mwingine aliyekua Dr huyu nae kiingereza alikuwa hajui kabisa.
Nina mashaka.
Kwani hao maprofesa wa Uingereza nao wanasoma masomo yao ya shule ya upili mpaka chuo kikuu kwa kiswahili!!??Angeongea Kiswahili kibovu ndipo ingekuwa hoja!
Kwani maprofesa wa Uingereza wanajui Kiswahili!
ngeli ni tool ya kufundishia, so profiency yake ipo kwenye jargon za taaluma tu, na ukiajiriwa serikalini lugha ya mawasiliano ni kiswahili, so ni kwaida msomi kuwa na ngelii mbaya ya kuongea kwa publicKama mleta mada anasema hivyo basi yeye ndio muongo kwa sababu haiwezekani uweze kufika level hiyo ya elimu halafu et uwe hujui lugha iliyokuwa inayotumika kufundishiwa.
Naambie ni ngazi gani ya elimu TZ, wanafundisha Conversational English??Mleta mada ana hoja asikiizwe. HAIWEZEKANI USOME KIINGLISH TOKA UKIWA DARASA LA 3 HADI LEVO YA UDOKTA AU PhD halafu ni mbongo na et hujui hiyo lugha mleta mada usikilizweee