mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,275
- 1,222
Hongera wewe ulieandika kama profesa teh teh teh
hv mkuu ùmewah waona wafuasi wa ponda wanavyotia huruma? nahisi na huyo yumo wanamiliki madevu tu hawawzi hata hesabu ya kutoa
Hongera wewe ulieandika kama profesa teh teh teh
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.
hv mkuu ùmewah waona wafuasi wa ponda wanavyotia huruma? nahisi na huyo yumo wanamiliki madevu tu hawawzi hata hesabu ya kutoa
Ponda kaingiaje hapa?
hapo form 6 hayo matokeo ni uongo.
na nikurekebishe, mnyika hakusoma na kina zitto. pia mnyika alisoma evening program/part time, BBA
nimeipenda hii. Ondoa elimu ya chuo, pass mark ya form 4 na 6 tu zinatosha kuwazodoa wehu wasio na chembe ya uelewa na elimu zao za kuungaunga
hata wewe umedanganya. hakupata division 2.Hapa umedanganya, mengine yote ni sawa, A Level hakupata 1, alipata Division 2!. But All in all, Mnyika ana uwezo sana, na nimefanya naye kazi YUNA, TYVA, na TAYOA, ni jembe mbaya!
hata wewe umedanganya. hakupata division 2.
Kwa hyo ana BBA?
Mtoa mada na yeye anashule ndoo maana ametumia heading ya Mnyika ili kuvuta watu. Hoja yake ya msingi ni kwamba haoni uhusiano kati ya vyeti na utendaji. Ametoa mfano wa wizara ya mambo ya ndani chini ya Mr. Mrema na Dr. Nchimbi. Na kwa uchambuzi wake anaona wizara ilikuwa inafanya vizuri chini ya Mr. kuliko sasa chini ya Dr?
Binafsi siungi mkono wala kupinga hoja yake kwani nimeona watu wa kawaida wakifanya kazi nzuri sana kama Mr. Samwel Sita na nimeona wasomi wakifanya mambo kama Dr. Magufuli (PhD) and Dr. Mwakyembe (PhD). So kwangu ni hulka ya mtu ndiyo mhimu na si vyeti alivyonavyo
Nimekuelewa sana mpaka nashindwa nianzie wap! but kama topic sentence ni nzito sanaaaa can u edit pls?
Shahada(Degree),Stashahada(Diploma) na Astashahada(Certificate) mkuu Kasheshe
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uongozi mzuri na kuwa na elimu ya juu. Hata hivyo, yeyote anayegombea nafasi ya uongozi hapaswi kudanganya kuhusu elimu yake.
Swali rahisi ni hili. Je, Mnyika alimaliza chuo au hajamaliza chuo? Degree anayo au hana?
Kwa vile Mnyika ameshajibu maswali mengi hapa JF akishindwa kujibu hili atakuwa anatoa ujumbe wa moja kwa moja kuwa degree HANA au chuo kikuu HAKUMALIZA. Maana kuwa na degree na kumaliza chuo ni vitu viwili tofauti...
Binafsi siungi mkono wala kupinga hoja yake kwani nimeona watu wa kawaida wakifanya kazi nzuri sana kama Mr. Samwel Sita na nimeona wasomi wakifanya mambo kama Dr. Magufuli (PhD) and Dr. Mwakyembe (PhD). So kwangu ni hulka ya mtu ndiyo mhimu na si vyeti alivyonavyo