Elimu ya Mnyika

Elimu ya Mnyika

Status
Not open for further replies.
? Nani asiyejua Elimu na uwezo wa Mnyika? Siasa za maji taka hizo!
 
Jibuni hoja sio matusi mnaogopa nini? mafis.adi wote wana elimu kubwa tu. ROWASA,KIKWETE.MKAPA. MEMBE.YONA.NAPE.MWINGURU.KINANA.NA KILA KIGOGO WA CCM.
 
Leteni elimu za akina Lusinde, Lameck Airo, Lukuvi.........alafu tutaendelea
 
Watanzania wanataka kujua Mnyika ana elimu gani hilo ndiyo la msingi.
 
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.



nimeipenda hii. Ondoa elimu ya chuo, pass mark ya form 4 na 6 tu zinatosha kuwazodoa wehu wasio na chembe ya uelewa na elimu zao za kuungaunga
 
Hata ungemwitw DR. ingefaa tu kwa vigezo vya kutoa hoja zilizokamilika, kuchambua hoja kisomi kwa kutoa data halisi pamoja na hekima ya kuwasilisha hoja bila papara wala kukurupuka. Kuna madikta wengi pale bungeni ambao hata hawamfikii huyu dogo!
 
Mkubali mkatae, Mnyika ni kichwa ana uwezo mkubwa wa upembuzi wa mambo na kujenga hoja za msingi
 
mi kitendo cha kumwambie mkulu ni dhaifu? tena kwenye bunge live, afu akakataa kufuta kauli...na yupo anadunda...hata kama anaelimu kama ya majimarefu namwona bonge la shujaa milele...mnaohoji elimu kama mmemzidi oneni aibu kijana alivyomakini...elimu zenu ndo izo za vyupi
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Ati leo elimu haina tija ilimradi tu kiongozi bora sio kweli akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa kama ni kweli ilikuwaje hadi adanganye elimu yake, kuna watu kwa kutetea ujinga nahic hata akimkuta chumbani na mkewe haamini atasema alienda kumpa kadi ya chama

lukuvi ana elimu gani?
 
Yapo Saumu hajaeleza kuhusu uwepo wake makao makuu na kutoka kwake, shz just a mbulula kutoka barmade hadi kuwa uchapaji makao makuu.
 
mi kitendo cha kumwambie mkulu ni dhaifu? tena kwenye bunge live, afu akakataa kufuta kauli...na yupo anadunda...hata kama anaelimu kama ya majimarefu namwona bonge la shujaa milele...mnaohoji elimu kama mmemzidi oneni aibu kijana alivyomakini...elimu zenu ndo izo za vyupi

dhaifu si ana digilii mbonaànapwaya?
 
Yapo Saumu hajaeleza kuhusu uwepo wake makao makuu na kutoka kwake, shz just a mbulula kutoka barmade hadi kuwa uchapaji makao makuu.

yaani kukubali mayai viza yakae na wewe ni matusi hv akina nape hawana hoja za kuongea zaidi ya za chupini tu? mungu aturehemu tunatawaliwa na fikra dhaifu sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom