? Nani asiyejua Elimu na uwezo wa Mnyika? Siasa za maji taka hizo!
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua
sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then
akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA
wakati wakiwa udsm na akina zitto na
mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa
unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP)
ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua
owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi
za kijamii kama UNA, TYVA na pia
muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo
kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka
2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na
umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye
kipaji cha pekee.
ingieni website ya bunge mtafute mnachokitafuta.
Leteni elimu za akina Lusinde, Lameck Airo, Lukuvi.........alafu tutaendelea
Ati leo elimu haina tija ilimradi tu kiongozi bora sio kweli akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa kama ni kweli ilikuwaje hadi adanganye elimu yake, kuna watu kwa kutetea ujinga nahic hata akimkuta chumbani na mkewe haamini atasema alienda kumpa kadi ya chama
mi kitendo cha kumwambie mkulu ni dhaifu? tena kwenye bunge live, afu akakataa kufuta kauli...na yupo anadunda...hata kama anaelimu kama ya majimarefu namwona bonge la shujaa milele...mnaohoji elimu kama mmemzidi oneni aibu kijana alivyomakini...elimu zenu ndo izo za vyupi
Yapo Saumu hajaeleza kuhusu uwepo wake makao makuu na kutoka kwake, shz just a mbulula kutoka barmade hadi kuwa uchapaji makao makuu.
Watanzania wanataka kujua Mnyika ana elimu gani hilo ndiyo la msingi.