Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,660
destateful liespia kupeleka watu marekani
destateful liespia kupeleka watu marekani
Kamanda haya ya elimu yake yatatusadia tukomboe jimbo letu? Tuwe na hoja za msingi hali mbaya sana kisiasa tunayo.
Mkuu hata mimi nilikuwa napata tabu sana kichwani kwangu nikilinganisha maneno yake na mipasho yake pamoja na elimu yake.Tatizo langu siyo chama. Tatizo langu lilikuwa kwenye maneno ya Gwajima na Elimu yake. Nilikuwa napata shida kwenye kulinganisha matamko yake na elimu yake. Sasa nimegundua kwamba jamaa ni mweupe kichwani.
Wa CCM yupo Kibajaji, Musukuma na wengine watunga Sheria wetu mahili.Sifa za kuwa mbunge ya chini awe darasa la Saba ndio maana Tunduma mgombea ubunge wa Chadema Tunduma ambaye pia alikuwa mbunge wa chadema Jimbo Hilo ni darasa la Saba pure anaitwa Mwakanjoka
ROBERT HERIEL
Hebu njoo utie neno hapa.
Fanyeni rejea ya "KIHIYO" case endapo atashinda kumweungua kwenye UbungeNimekuwa napata shida sana kutokana na elimu ya Gwajima . Tokea kipindi akitangazia umma na akiliamsha dude pale Kanisani kwake, basi ,nikawa napata shida kutokana na matamshi yake.
Kila kazi ina miiko yake. Askofu hatakiwi kutoa siri za muumini wake hata kama huyo muumini amelihama kanisa lake. Hapa niliona kwenye YouTube Gwajima akisema mambo ya siri ya mke wa Dkt. Slaa.
Leo nimeangalia tovuti ya kanisa la Gwajima. Katika hii tovuti ambayo ameandaa yeye mwenyewe nimeona mambo yafuatayo:
References
- Gwajima amezaliwa mwaka 1970
- Amemaliza shule ya msingi mwaka 1985
- Amemaliza shule ya sekondari Olevel mwaka 1993. Alichelewa kumaliza secondary sababu ya maradhi.
- Alimaliza Advanced Diploma in Bible and Theology mwaka 1994 mjini Nairobi Kenya. Hapa ndo pana ufisadi wa elimu. Yaani alisoma stashahada ya juu kwa mwaka mmoja tena baada ya kumaliza olevel. Kwa maoni yangu, huyu alichosoma ni level ya certificate. Matatizo ya Gwajima it yanaanzia hapa.
- Baada ya hiyo Advanced Diploma yake ambayo ni magumashi, alijiunga na chuo kinaiitwa Japan Bible Institute na kusomea Master’s degree in Christian Missions June 2006 mpaka February 2008. Hapa nilitaka kujua ni kwanini hiyo institute ilikubali kumpa admission mwanafunzi ambaye ambaye ana only post secondary study ya mwaka mmoja tu, nikakuta hiyo institute yenyewe nayo ni ya kimagumashi. Hiyo institute haina hata physical address . Ni Chuo cha kwenye mtandao na pia kinatoa degree by experience. Yaani waweza pewa hata degree kwa kuwa una uzoefu. Hii masters degree yake kumbe ni utata mtupu na achilia mbali kwamba hana sifa za kujoin hata kozi ya degree ya kwanza.
- Mwaka 2015 alipewa PhD na chuo cha kidini cha Afrika ya Kusini kinaitwa Omega Global University. Kwenye tovuti ya chuo hiki pana maelezo kwamba kinatoa honorary PhD. Gwajima haoneshi kwenye tovuti yake ni mwaka gani alijoin hiki chuo wala lini alimaliza. Pia, hiyo miaka, Gwajima alishakuwa na kanisa la misukule huko Ubungo na baadae kuhahmia Kawe. Tena ni mwaka ambao alikuwa mshenga wa kumleta Lowassa Chadema na baadaye kututobolea siri ya vyeti vya mkuu wa mkoa aitwaye Bashite. Hivyo basi, PhD hii ni ya heshima.
- Mwisho, kwa maoni yangu, elimu ya Gwajima ambayo haina mashaka kabisa ni ile ya form four mwaka 1993.
Umepiga wasipopatakaaaaaVipi kuhusu kumpa uenyekiti wa Chadema Mbowe ambaye Ni form Six division zero na kumwacha mtu Kama Profesa Baregu mwana Chadema Profesa wa Siasa mwenyewe PhD ya Political Science
Nani mwenye Merit hapo aliyestahili kupewa?
Mwacheni Gwajima atupeleke Marekani jamani,hv nipo kwenye mpango kabambe wa kuhamia jimbo la Kawe then huyooo Bamingamu..
Kusema ukweli ccm nilikuwa nawakubali ila kwa hapa wameteleza itabidi tu kura yangu nikampe mdee japo haikuwa lengo languLawama ziko kwa CCM na maamuzi yao. Walishindwa kuelewa maana ya nafasi ya ubunge. Gwajima alistahili kuangaliwa kwa ubora wake na hata waumini wake. Ubora wake uko chini na hata waumini wake ni wa aina hiyo hiyo! Hili ni tatizo kwa vyma vyote lakini kwa CCM ni kubwa kutokana na ukongwe wao. Ndo maana Bunge linageuka kuwa ni kikao cha watu wabovu na rais anaamua kujipangia matumizi yeye mwenyewe.
Ni kweli haikuwa ajabu mtu anayejiita askofu kujipiga picha akifanya ngono? Bila kujali sababu ya kitendo hicho, hakutakiwa hata kusikilizwa kwenye kura za maoni. Ni mtu mchafu tu! Tamaa ya CCM ni ile ile; kuwa na wabunge wengi bila kujali ubora wao.
Hahaha hivi uki fail form six ukapata zero unakuwa na eliu gani?! A-level au O-level?!
Gwajima O-level ali fail alipata daraja la nne lililo egemea zero, leo ana PhD.
CCM akili zenu mnazijua wenyewe.
Eti kasema anajua kaongea kijapani na kaandika vitabu vya kijapani, mara katuambia anatuletea Ambulance, !!!
Kampeni za hivyo angeenda Koromije.
Kawe Ambulance za nini tuna magari yetu, halafu sisi sio wagonjwa, au anagombea uganga wa zahanati?!
Kwenda Marekani imekua hitaji lamuhimu katika maisha ya kila siku.Na wananchi kwenye hii sound walishangilia kabisa
Gwajima ni muhuni mwenzetu ndani ya kivuli cha dini.Nimekuwa napata shida sana kutokana na elimu ya Gwajima . Tokea kipindi akitangazia umma na akiliamsha dude pale Kanisani kwake, basi ,nikawa napata shida kutokana na matamshi yake.
Kila kazi ina miiko yake. Askofu hatakiwi kutoa siri za muumini wake hata kama huyo muumini amelihama kanisa lake. Hapa niliona kwenye YouTube Gwajima akisema mambo ya siri ya mke wa Dkt. Slaa.
Leo nimeangalia tovuti ya kanisa la Gwajima. Katika hii tovuti ambayo ameandaa yeye mwenyewe nimeona mambo yafuatayo:
References
- Gwajima amezaliwa mwaka 1970
- Amemaliza shule ya msingi mwaka 1985
- Amemaliza shule ya sekondari Olevel mwaka 1993. Alichelewa kumaliza secondary sababu ya maradhi.
- Alimaliza Advanced Diploma in Bible and Theology mwaka 1994 mjini Nairobi Kenya. Hapa ndo pana ufisadi wa elimu. Yaani alisoma stashahada ya juu kwa mwaka mmoja tena baada ya kumaliza olevel. Kwa maoni yangu, huyu alichosoma ni level ya certificate. Matatizo ya Gwajima it yanaanzia hapa.
- Baada ya hiyo Advanced Diploma yake ambayo ni magumashi, alijiunga na chuo kinaiitwa Japan Bible Institute na kusomea Master’s degree in Christian Missions June 2006 mpaka February 2008. Hapa nilitaka kujua ni kwanini hiyo institute ilikubali kumpa admission mwanafunzi ambaye ambaye ana only post secondary study ya mwaka mmoja tu, nikakuta hiyo institute yenyewe nayo ni ya kimagumashi. Hiyo institute haina hata physical address . Ni Chuo cha kwenye mtandao na pia kinatoa degree by experience. Yaani waweza pewa hata degree kwa kuwa una uzoefu. Hii masters degree yake kumbe ni utata mtupu na achilia mbali kwamba hana sifa za kujoin hata kozi ya degree ya kwanza.
- Mwaka 2015 alipewa PhD na chuo cha kidini cha Afrika ya Kusini kinaitwa Omega Global University. Kwenye tovuti ya chuo hiki pana maelezo kwamba kinatoa honorary PhD. Gwajima haoneshi kwenye tovuti yake ni mwaka gani alijoin hiki chuo wala lini alimaliza. Pia, hiyo miaka, Gwajima alishakuwa na kanisa la misukule huko Ubungo na baadae kuhahmia Kawe. Tena ni mwaka ambao alikuwa mshenga wa kumleta Lowassa Chadema na baadaye kututobolea siri ya vyeti vya mkuu wa mkoa aitwaye Bashite. Hivyo basi, PhD hii ni ya heshima.
- Mwisho, kwa maoni yangu, elimu ya Gwajima ambayo haina mashaka kabisa ni ile ya form four mwaka 1993.
TULIPANDA TRENI YAKE, SASA TUTAPANDA BOAT. TUTAMCHAGUA.
.....ni Jiji,Jimboni Alabama US.Kwa elimu hii ya hapa na pale aka magumashi, sishangai tena kusikia Birmingham ipo Marekani!
Walimpisha kwa vile anajua kusoma na kuandika, maana ndivyo vigezo hata vya wakuu wa wilaya na mikoa katika serikali wanayoongoza!!Hahaha yani unaumiza kichwa na elimu ya Gwajima?!
CCM sijui walimpitishaje?