Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,942
elimu kitu gani issue ni kuifikia Destiny yako.unasema ana elimu ya magumashi ila ana ndege hammer tatu na mkwanja wa kutosha.Gwajima ana Mungu lazima ashinde ubunge
Mbona unahangaika na maisha ya mwanaume mwenzako si upambane na wewe hebu acha ufalaHata kihiyo kama Joseph Msukuma wanamzidi Gwajima elimu. Hana elimu yoyote. Ni tapeli na msanii wa kawaida ambaye Mungu wake ni tumbo lake. Finish. Hana tofauti na akina Rwakatare, Gamanywa, mzee wa upako, Kakobe na matapeli wengine wanaotumia Yesu kuibia na kuumiza wajinga maskini waliojaa Tanzania.
Unataka nihangaike na mama yako tuu wakati nina akili kubwa. Kama Gwajima tapeli wa kutupwa amekuhonga au wewe ni yeye basi mjue tunavyowatazama.Mbona unahangaika na maisha ya mwanaume mwenzako si upambane na wewe hebu acha ufala
Pumbaff kabisa. Mtumishi wa Mungu au shetani? Ni taahira pekee asiyejua kuwa gwajima ni chawa na tapeli wa kawaida.#Niwape tu onyo nyie wote mnaotoa maneno ya kashfa kwa mtumishi wa MUNGU muache mara moja la sivyo kuna madhara yatawafuata kama mtataka kuendelea.......😭😭😭