Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Kwani hairuhusiwi kudadisi ?
Mimi nilijaribu kuweka huo mpangilio wa kuwaka herufi H katikati na receiver ikagoma kuipokea.
Mpangilio wa receiver za Azam herufi H inakaa mwishoni.
Hebu basi wewe utuandikie na kuiweka H mwishoni ili ikae bila kusumbua.
Kama mtu akiuliza kitu ni vizuri kumjibu badala ya kuandika vitu vingine visivyoeleweka.
Tatizo lako unaongea sana, hadi unakosa muda wa kujifunza. Kua maomaji ni njia moja ya kujifunza.
 
mkuu za mengi haziko upande uo,ila nashukuru kwa kuleta mrejesho,nami muda simrefu nitamwaga nondo nyingne kuhusu dish la zuku..

Ingekua bora orodhesha hapa izo chanel ulizo zipata kwa manufaa ya wote.. Wazijue
Chief macho kwako aisee koz natumia Zulu ko nliona iyo thread hakunihusu sana
 
Chief macho kwako aisee koz natumia Zulu ko nliona iyo thread hakunihusu sana
Mimi Nipo huku Uganda natumia dish la azam napata chanel 200 na za local nazipata lakin wameandika paid na hazionyeshi,naona za;malawi za zambia na injili peke yake
 
Kwese free sports iko kwenye channels za Azam TV number 155 kwa Sasa wanaonyesha match ya epl ya Manchester city.
 
Naona kimechokuchanya hapo ni neno dstv.
Nachotumia hapo ni dish pekee la dstv au Dish la Azam au startimes na wala sio visimbuzi ya kampuni ya hayo madish badala yake unakuwa na visimbuzi chochote ila kiwe cha FTA
Tambua kuwa kuna decorder za kulipia kila mwezi ili uweze kuona channel za Tv kama vile Azam tv, Dstv, Ting n.k na pia kuna decorder ambazo ni free ambazo haulipii ili kuona channel za Tv na hizi decorder tunaweza kusema ni FTA receiver/decorder na ndiyo ninayoitumia ila decorder yangu imo ndani ya flat screen yaani ni builtin decorder.
Pia hata kama Tv yako haina decorder kwa ndani, unaweza ukatumia zile decorder za madishi makubwa tuliyokuwa tunatumia kipindi kile cha analogia. Mfano kama una receiver/decorder ya mediacom au hata decorder inayoitwa Strong nayo inafaa sana.
Baada ya kujua ni decorder/receiver gani zenye sifa ya kukuwezesha kuona channel nyingi za bule zikiwemo zingine nyingi tu.
Kama una dishi dogo la ku-band kama la ni la Dstv au Startimes au Ting n.k kati ya hayo yanafaa. Elekeza dishi lako mashariki na anza kufanya installation kwny decorder yako kwa kuchagua satellite inayoitwa Amos 5 17 E, Freq 11665 V 45000, 11595 V 30005, 11631 V 1499 na kwenye sehemu ya LNB FREQ NI 9750/10600.
NB. Utaweza kufanya kama una idea na haya mambo. Kama utakuwa unahitaji maelekezo ya ufundi uni PM namba yako tutawasiliana.
Vipi kuhusu receiver ya CTV?Yaani cable tv.
 
Wakuu Naombeni Msaada Kwenye Hii Azam Yangu...

Yaani Nikichukua King'amuzi Changu nikichomeka Kwenye King'amuzi cha Jirani Kinaonyesha Ila Kwangu Hakionyeshi Kinaandika #No Signal#, Wakati Nikichukua King'amuzi cha Mwingine Kuja Kwangu kinafanya Kazi Vizuri Tuu, Na Signal ipo
intensity======= 85%
quality======== 70%

Tatizo linaweza Likawa Nini wakuu....!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Naombeni Msaada Kwenye Hii Azam Yangu...

Yaani Nikichukua King'amuzi Changu nikichomeka Kwenye King'amuzi cha Jirani Kinaonyesha Ila Kwangu Hakionyeshi Kinaandika #No Signal#, Wakati Nikichukua King'amuzi cha Mwingine Kuja Kwangu kinafanya Kazi Vizuri Tuu, Na Signal ipo
intensity======= 85%
quality======== 70%

Tatizo linaweza Likawa Nini wakuu....!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Scan upya kitaonyesha vizuri.
 
Back
Top Bottom