Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Mnajisumbua bureeee tu hapa kwa kupenda vya bure mmeshaambiwa ukitaka ITV na star TV basi fungeni kisimbusi cha DiGiTECK hamtochajiwa malipo ya mwezi lakini men'gan'gan na wizi tuuuuu . jamani bakini njia kuuu mchepuko sio diri utakuja kuwaumbuA ooooh ! Haya
Dgiteki unaipataje
 
Usipotoshe watu! Mimi napata channel nyingi tu bure na silipii hata shilingi
ITV
EATV
CH 10
STAR TV
TBC
TING HD MICHEZO
Muvi tv zambia
CLOUDS TV
TVE
DIRA TV
ATN
TV1
UHAI TV
EMANUEL TV
ALJAZEERA
DW TV
RT
VOA
BBC NEWS
ARISE AND SHINE
MORNING STAR
SAYARE TV
CINEMA TV
FRANCE 24
GEOR DAVIE TV
PRESS TV
MADAN TV
DAY STAR
1FILM
NILE
AFRICANEWS
CLOUDS TV RWANDA
TBN
SMILE OF CHILD
SIBUKA TV
KTN
CITIZEN
K24
MBC
MBC2
MBC BOLLYWOOD
SUA TV
MIRACLE TV
LOVE WORLD
CHELSEA TV
TRENET TV
FIRE
CLOUDS TV
WASAFI TV
NTV
HOPE TV
Star documentary
Star movies
Star bunge
Star drama
Star muzik
Star sport
Star religion
Star education
Star tollywood
Star kids
Star e
Na channel nyingi cjaziorodhesha naona bure bila ya kulipia hata shilingi
UKIWA MZEMBE NA KAMA HATO CHUKUA HATUA UTALIPIA VING'AMUZI HADI UNAKUFA
Ahsante Sana kaka nmekusoma sana
 
Usipotoshe watu! Mimi napata channel nyingi tu bure na silipii hata shilingi
ITV
EATV
CH 10
STAR TV
TBC
TING HD MICHEZO
Muvi tv zambia
CLOUDS TV
TVE
DIRA TV
ATN
TV1
UHAI TV
EMANUEL TV
ALJAZEERA
DW TV
RT
VOA
BBC NEWS
ARISE AND SHINE
MORNING STAR
SAYARE TV
CINEMA TV
FRANCE 24
GEOR DAVIE TV
PRESS TV
MADAN TV
DAY STAR
1FILM
NILE
AFRICANEWS
CLOUDS TV RWANDA
TBN
SMILE OF CHILD
SIBUKA TV
KTN
CITIZEN
K24
MBC
MBC2
MBC BOLLYWOOD
SUA TV
MIRACLE TV
LOVE WORLD
CHELSEA TV
TRENET TV
FIRE
CLOUDS TV
WASAFI TV
NTV
HOPE TV
Star documentary
Star movies
Star bunge
Star drama
Star muzik
Star sport
Star religion
Star education
Star tollywood
Star kids
Star e
Na channel nyingi cjaziorodhesha naona bure bila ya kulipia hata shilingi
UKIWA MZEMBE NA KAMA HATO CHUKUA HATUA UTALIPIA VING'AMUZI HADI UNAKUFA
Kwa king'amuzi gani mkuu??
 
Wadau kama zoezi la hapo juu limeeleweka,ingiza frequence hizi ambapo baadhi ya chanel wanaonesha epl live.

11190h/v,1032 utapata chanel kibao.
Habari mkuu naomba nielekezwe namna ya kuset
 
Mkuu naomba utuelekeze vzr namna ya kuset frequency mfano dish langu sijalipia kabisa yaani napata channel moja tu TBC 1 hivi naweza kupata na Itv,startv hata kama sina bundle
Kama inawezekana basi naomba unielekeze please
 
Dgiteki unaipataje
Digitek inapatikana kwenye maduka ya ving'amuzi.
Inatumia Antena, hiyo unapata chanel za Tanzania bure siku zote.
Hawa wanaoeleza kuongeza Setelite hawana usahihi.
Setelite za Azam zinaandikwa kwa mpangilio kama huu.
1856 45000 H.
Wao wanaandika eti zinaandikwa
Kwa mpangilio wa
11190 H 3210 . H wanaiweka katikati badala ya mwishoni, mpangilio ambao haufiti kwenye Sysytem ya receiver za Azam.
Waelezaji hawako makini na utafiti wao.
 
Digitek inapatikana kwenye maduka ya ving'amuzi.
Inatumia Antena, hiyo unapata chanel za Tanzania bure siku zote.
Hawa wanaoeleza kuongeza Setelite hawana usahihi.
Setelite za Azam zinaandikwa kwa mpangilio kama huu.
1856 45000 H.
Wao wanaandika eti zinaandikwa
Kwa mpangilio wa
11190 H 3210 . H wanaiweka katikati badala ya mwishoni, mpangilio ambao haufiti kwenye Sysytem ya receiver za Azam.
Waelezaji hawako makini na utafiti wao.
Ahsante na je decoder za dishi za Digitek je? Znapatikana
 
Ahsante na je decoder za dishi za Digitek je? Znapatikana
Ukienda kwenye maduka ya ving'amuzi utajibiwa swali lako hili kwa usahihi zaidi.
Mimi nina Digitek ya Antenna na inafanya kazi vizuri tu na haina malipo kwa mwezi.
 
somo zuri sana lakini unapowaambia hawa vishoka waelekeze dish mashariki naona kama unawapoteza bure mkuu na sidhani kama wataambulia chochote, cha msingi waambie waitafute satellite husika inayorusha matangazo ya continental ijulikanayo kama abs3 nyuzi 75 kisha wascan decoda zao watapata hizo chanel vinginevyo watakesha
 
Digitek inapatikana kwenye maduka ya ving'amuzi.
Inatumia Antena, hiyo unapata chanel za Tanzania bure siku zote.
Hawa wanaoeleza kuongeza Setelite hawana usahihi.
Setelite za Azam zinaandikwa kwa mpangilio kama huu.
1856 45000 H.
Wao wanaandika eti zinaandikwa
Kwa mpangilio wa
11190 H 3210 . H wanaiweka katikati badala ya mwishoni, mpangilio ambao haufiti kwenye Sysytem ya receiver za Azam.
Waelezaji hawako makini na utafiti wao.
sisemi kama inaonekana hujui lolote kuhusu nilicho andika apo juu,bali nadiriki kisema hujui kitu chochote ktk hii tasnia,kwani kuna tofauti gani unapo andika transponder,polarization na symborate bila kufuata uo mpangilio wa azam.? Wacha kukalili haijarishi umeanza na nini ilimradi umejaza kila kitu ktk sehemu yake utapata signal tu,rudi kafanye tafiti yako upya.
 
Mkuu naomba utuelekeze vzr namna ya kuset frequency mfano dish langu sijalipia kabisa yaani napata channel moja tu TBC 1 hivi naweza kupata na Itv,startv hata kama sina bundle
Kama inawezekana basi naomba unielekeze please
Ndio unaweza zipo za local apk @64 inaitaji dish ft6
 
Note. Someni update za uzi huu uko ktk post ya kwanza ndio muendeleze mijadala yenu,sikuizi azam ana sw ambayo imezicombine izo tp na izo chanel ziko upande wa other chanels,ila zipo trick za kukuwezesha kuona izo ligi pendwa bila malipo yoyote.

Mind u bure ni ghali sana now days.
 
Digitek inapatikana kwenye maduka ya ving'amuzi.
Inatumia Antena, hiyo unapata chanel za Tanzania bure siku zote.
Hawa wanaoeleza kuongeza Setelite hawana usahihi.
Setelite za Azam zinaandikwa kwa mpangilio kama huu.
1856 45000 H.
Wao wanaandika eti zinaandikwa
Kwa mpangilio wa
11190 H 3210 . H wanaiweka katikati badala ya mwishoni, mpangilio ambao haufiti kwenye Sysytem ya receiver za Azam.

Waelezaji hawako makini na utafiti wao.
Kha!!! Hebu kua msomaji tu utajifunza kitu hapa.
 
Kha!!! Hebu kua msomaji tu utajifunza kitu hapa.
Kwani hairuhusiwi kudadisi ?
Mimi nilijaribu kuweka huo mpangilio wa kuwaka herufi H katikati na receiver ikagoma kuipokea.
Mpangilio wa receiver za Azam herufi H inakaa mwishoni.
Hebu basi wewe utuandikie na kuiweka H mwishoni ili ikae bila kusumbua.
Kama mtu akiuliza kitu ni vizuri kumjibu badala ya kuandika vitu vingine visivyoeleweka.
 
Back
Top Bottom