Realbest
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 812
- 301
Dgiteki unaipatajeMnajisumbua bureeee tu hapa kwa kupenda vya bure mmeshaambiwa ukitaka ITV na star TV basi fungeni kisimbusi cha DiGiTECK hamtochajiwa malipo ya mwezi lakini men'gan'gan na wizi tuuuuu . jamani bakini njia kuuu mchepuko sio diri utakuja kuwaumbuA ooooh ! Haya
sisemi kama inaonekana hujui lolote kuhusu nilicho andika apo juu,bali nadiriki kisema hujui kitu chochote ktk hii tasnia,kwani kuna tofauti gani unapo andika transponder,polarization na symborate bila kufuata uo mpangilio wa azam.? Wacha kukalili haijarishi umeanza na nini ilimradi umejaza kila kitu ktk sehemu yake utapata signal tu,rudi kafanye tafiti yako upya.