Si kama hiki boss, ????Ili ujue kama Flat screen yako ina king'amuzi cha ndani kwa ndani, chunguza nyuma ya tv yako kama ina port iliyoandikwa LNB IN, hapo ndo utajua kama ina decorder kwa ndani au la!
Hata hii inafaa na unaweza ukaona FTA channel nyingi tu zikiwamo local channel zoteSi kama hiki boss, ????View attachment 871544
Nikitumia dishi dogo je?Unalo dish gani? Kubwa au dogo?
Ahsante kaka bt Kuna channel chache za free ukiweka uelekeo wa STARTIME lkn cjajua ukiweka upande wa mashariki itakuajeJaribu ila sina uhakika maana naona kama Ving'amuzi vyao ni vya kulipia.
Nikitumia dishi dogo je?
Naona kimechokuchanya hapo ni neno dstv.
Nachotumia hapo ni dish pekee la dstv au Dish la Azam au startimes na wala sio visimbuzi ya kampuni ya hayo madish badala yake unakuwa na visimbuzi chochote ila kiwe cha FTA
Tambua kuwa kuna decorder za kulipia kila mwezi ili uweze kuona channel za Tv kama vile Azam tv, Dstv, Ting n.k na pia kuna decorder ambazo ni free ambazo haulipii ili kuona channel za Tv na hizi decorder tunaweza kusema ni FTA receiver/decorder na ndiyo ninayoitumia ila decorder yangu imo ndani ya flat screen yaani ni builtin decorder.
Pia hata kama Tv yako haina decorder kwa ndani, unaweza ukatumia zile decorder za madishi makubwa tuliyokuwa tunatumia kipindi kile cha analogia. Mfano kama una receiver/decorder ya mediacom au hata decorder inayoitwa Strong nayo inafaa sana.
Baada ya kujua ni decorder/receiver gani zenye sifa ya kukuwezesha kuona channel nyingi za bule zikiwemo zingine nyingi tu.
Kama una dishi dogo la ku-band kama la ni la Dstv au Startimes au Ting n.k kati ya hayo yanafaa. Elekeza dishi lako mashariki na anza kufanya installation kwny decorder yako kwa kuchagua satellite inayoitwa Amos 5 17 E, Freq 11665 V 45000, 11595 V 30005, 11631 V 1499 na kwenye sehemu ya LNB FREQ NI 9750/10600.
NB. Utaweza kufanya kama una idea na haya mambo. Kama utakuwa unahitaji maelekezo ya ufundi uni PM namba yako tutawasiliana.
Kaka Edward Kuna startime tv zna feature hz je zinaweza faaUnalo dish gani? Kubwa au dogo?
Hiyo Tv kutokana na features walizo orodhesha hapo ina uwezo wa kupata channel za bure(FTA CHANNEL)Kaka Edward Kuna startime tv zna feature hz je zinaweza faaView attachment 871774
Yah! Unaweza kupata ili mladi decorder yako iwe ni FREE TO AIR CHANNEL (FTA channel)Write your reply...kaka mi Nina humax je naweza kupata hzo Chanel?
Haya mambo ya beyond your thinking capacity.... kafatilie udaku ndio level zako... hakuna mtu amekuita hapa... kwanza unajua maana ya free to air????Mnajisumbua bureeee tu hapa kwa kupenda vya bure mmeshaambiwa ukitaka ITV na star TV basi fungeni kisimbusi cha DiGiTECK hamtochajiwa malipo ya mwezi lakini men'gan'gan na wizi tuuuuu . jamani bakini njia kuuu mchepuko sio diri utakuja kuwaumbuA ooooh ! Haya
Usipotoshe watu! Mimi napata channel nyingi tu bure na silipii hata shilingiMnajisumbua bureeee tu hapa kwa kupenda vya bure mmeshaambiwa ukitaka ITV na star TV basi fungeni kisimbusi cha DiGiTECK hamtochajiwa malipo ya mwezi lakini men'gan'gan na wizi tuuuuu . jamani bakini njia kuuu mchepuko sio diri utakuja kuwaumbuA ooooh ! Haya
Hajitambui huyo! Kajitoa ufahamu.Haya mambo ya beyond your thinking capacity.... kafatilie udaku ndio level zako... hakuna mtu amekuita hapa... kwanza unajua maana ya free to air????
Ahsante kaka kwy clouds itv EATV starts tv channel ten na zinginezo naweza zipata free?Hiyo Tv kutokana na features walizo orodhesha hapo ina uwezo wa kupata channel za bure(FTA CHANNEL)