Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

nimeingiza transponder zimeingia kwa kingamuzi cha azam nime add satellite na nime search zimeoneka zimepatikana channel 2 frequency ya kwanza na 21 frequency ya pilli. lakin kwenye channel list sizioni nemeenda hadi other channel sizion channel hizo zilizo ongezeka
Azam walishtukia huo mchezo kwan walijua watakosa wateja so ndo maana huwezi ziona.
 
Mkuu maelezo uliyoyatoa ni kwa wale wanaotumia receiver, mi naongelea case ya decoder za ndani kwa ndani ambazo hazitumii receiver. Unafanyaje kwa kutumia TV tupu bila decoder au receiver yeyote.
Unajua kuwa receiver ndio decorder hiyo hiyo. Mbona ww kama kwny maelezo yako unatofautisha receiver na decorder?
 
Unajua kuwa receiver ndio decorder hiyo hiyo. Mbona ww kama kwny maelezo yako unatofautisha receiver na decorder?
Mkuu nina decoder ya azam, nina decoder ya dstv, nina decoder ya startime, nina receiver ya strong, na tuna Tv ya LG kubwa ya inch 32. Tuna madish ya dstv na azam.
Na kila kimoja kipo separately, hakuna ninachochanganya. Kwa kuwa umesema TV ya LG ina decoder ya ndani ya TV ambayo ni built in. Ambayo inaweza kutumiwa bila msaada wa decoder wala receiver. Inakua connected na dish tu. Sasa nataka unielekeze kwa kutumia hiyo LG na dish la dstv ama azam unapata vipi hizo channels???
 
Mkuu nina decoder ya azam, nina decoder ya dstv, nina decoder ya startime, nina receiver ya strong, na tuna Tv ya LG kubwa ya inch 32. Tuna madish ya dstv na azam.
Na kila kimoja kipo separately, hakuna ninachochanganya. Kwa kuwa umesema TV ya LG ina decoder ya ndani ya TV ambayo ni built in. Ambayo inaweza kutumiwa bila msaada wa decoder wala receiver. Inakua connected na dish tu. Sasa nataka unielekeze kwa kutumia hiyo LG na dish la dstv ama azam unapata vipi hizo channels???
Nmekuelewa! Kama una LG Inch 32, tazama kwa nyuma ya tv yako utakuta kuna port ya anterna /cable na pembeni yake kuna port ya LNB satellite in. Hapo kwenye port ya LNB satellite in unachomeka waya wa cable moja kwa moja hadi kwenye dishi na kuanza kufanya installation
 
Baada ya hapo kwenye flat screen yako kuna port ya LNB in, chomeka cable wire hadi kwny dishi lako na kuanza kufanya installation kwny flat screen yako. Ila kama itakuchanganya unipigie kwa hii namba nikuelekeze kwa ukaribu 0719488324/0766475608
Mkuu ninayo dekoda ya Mediacom na dish la DSTV nifanyaje ili nizipate FTA
 
Nmes
Nishatoa post yenye namba kati ya #1722 - #1725 itafute na uisome utaelewa. Tofauti na hapo nimetoa namba za simu waweza nipigia nikuelekeze.
Mkuu si ugefafanua tu kwa fajda ya wengi
Post ulizisema naoba km ni tofauti na nilichouliza
 
Mkuu ninayo dekoda ya Mediacom na dish la DSTV nifanyaje ili nizipate FTA
Dish hilo la Dstv liweke uelekeo wa Upande wa mashariki na unganisha waya wa kupeleka signal kutoka kwenye decorder yako ya mediacom kwenda kwenye dish lako la Dstv baada ya hapo anza kufanya installation kwenye receiver yako ya mediacom kwa kuchagua satellite ya Amos 5 17.0 E na kwenye LNB FREQ ni Universal au, 9750/10600 kisha weka freq 11665 V 45000. Then anza kusearch signal na strengh ili uweze kupata hizo channel.
 
Dish hilo la Dstv liweke uelekeo wa Upande wa mashariki na unganisha waya wa kupeleka signal kutoka kwenye decorder yako ya mediacom kwenda kwenye dish lako la Dstv baada ya hapo anza kufanya installation kwenye receiver yako ya mediacom kwa kuchagua satellite ya Amos 5 17.0 E na kwenye LNB FREQ ni Universal au, 9750/10600 kisha weka freq 11665 V 45000. Then anza kusearch signal na strengh ili uweze kupata hizo channel.
Sawa mkuu nitajaribu
 
Dish hilo la Dstv liweke uelekeo wa Upande wa mashariki na unganisha waya wa kupeleka signal kutoka kwenye decorder yako ya mediacom kwenda kwenye dish lako la Dstv baada ya hapo anza kufanya installation kwenye receiver yako ya mediacom kwa kuchagua satellite ya Amos 5 17.0 E na kwenye LNB FREQ ni Universal au, 9750/10600 kisha weka freq 11665 V 45000. Then anza kusearch signal na strengh ili uweze kupata hizo channel.
Naomba kufahamu kama na local channels zinakuwepo katika list ya hizo channels utakazozipata....
 
Back
Top Bottom