Sam 2023
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,979
Hakuna namna mkuu jamaa wamebana koteYa kale dhahabu mkuu ...naona baada ya tamko la TCRA umerudi kufuata maajuzi kwenye uzi wa zamani..mie mwenyewe nasubiria jibu
Hakuna namna mkuu jamaa wamebana koteYa kale dhahabu mkuu ...naona baada ya tamko la TCRA umerudi kufuata maajuzi kwenye uzi wa zamani..mie mwenyewe nasubiria jibu
Inawezekana kutumia dstv dish na receiver ya mediacom mft-910 plus. Au 930 plus....naona TCRA wanaleta maigizo
Acha kabisa mpaka watu wamekumbuka analogy maana hata hao star times sometime inakataHakuna namna mkuu jamaa wamebana kote
Inawezekana kupata chaneli zingine tofauti na local chanelsHaiwezekani kupata local channels kama TBC, ITV, Star TV nk.
Nunua dish la futi 6, utawezapata ITV, EATV,Capital TV,TBC nk.
Mambo yamekua magumu kweli, inalazimu kuwa na ving'amuzi viwiliAcha kabisa mpaka watu wamekumbuka analogy maana hata hao star times sometime inakata
Inawezekana kupata chaneli zingine tofauti na local chanels
Receiver ya media com mft -930 plus na 910 plus. Vipi kuhusu flat screen zenye decoder zinafaa kuunganisha na dish la dstv?Uko sahihi tena nyingi tu
kama tv yako ina king'amuzi tafuta fundi aseti dish upande wa continental maana loxa zote zipo free huko. huna haja ya kununua rcvReceiver ya media com mft -930 plus na 910 plus. Vipi kuhusu flat screen zenye decoder zinafaa kuunganisha na dish la dstv?
Natumia 24" haina decoder ila nampango wa kununua yenye decoderkama tv yako ina king'amuzi tafuta fundi aseti dish upande wa continental maana loxa zote zipo free huko. huna haja ya kununua rcv
Uefa nayo vpAngalia Crtv
Angalia Crtv na ktn wanaonyesha epl match moja kila weekend ziko kwa azamtv. Hizo hapo juu kwa sasa ziko encrypted ni giza tu
Ndio inawezekana. Mm nina Tv ya LG ina king'amuzi cha ndani na ninatumia dish la dstv Ninapat fta channel nyingi za bure.Receiver ya media com mft -930 plus na 910 plus. Vipi kuhusu flat screen zenye decoder zinafaa kuunganisha na dish la dstv?
Asante sana mkuuNdio inawezekana. Mm nina Tv ya LG ina king'amuzi cha ndani na ninatumia dish la dstv Ninapat fta channel nyingi za bure.
Unatumia TV ya shilling ngapi? Unapata Chanel kama ngapi?Ndio inawezekana. Mm nina Tv ya LG ina king'amuzi cha ndani na ninatumia dish la dstv Ninapat fta channel nyingi za bure.
Kama itakuchanganya kuseti unambie nikuelekeze.Asante sana mkuu
Kama itakuchanganya kuseti unambie nikuelekeze.Asante sana mkuu
LG inch 32 na napata FTA channel 102Un
Unatumia TV ya shilling ngapi? Unapata Chanel kama ngapi?
Dah! Unakula maisha mkuu, ngoja nijichanhe nipate hiyo 32 halafu ntakuchekiLG inch 32 na napata FTA channel 102
PoapoaDah! Unakula maisha mkuu, ngoja nijichanhe nipate hiyo 32 halafu ntakucheki
Ndio inawezekana. Mm nina Tv ya LG ina king'amuzi cha ndani na ninatumia dish la dstv Ninapat fta channel nyingi za bure.
Maelezo please unafanyaje mkuuPoapoa