Mambo ya mgando hayo
Ting na continental decoder sasa wanatafuta satellite nyingine ya kuhamia ting wameweka tangazo kwenye Facebook page yao
Mambo ya mgando hayo
wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.
Update...
................................
Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya fta{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.
12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.
Editing..
Sasa hivi wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000
nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... Na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.
mbona hamnjibu
Unaweza tumia dish lolote ilimradi size ile ile,mf gulf,star sat nn,na uekekeo ule ule,tafuta fundi tu wakufunga mrembo
Game ya Manchester city leo iko live kupitia crtv na sasa league ya Italy iko live kupitia rai Italia channel iko azam tv pia. Jumamosi epl wanaonyesha match ya saa 12 jioni kupitia crtv kwenye iko other channels
Crtv ni chanel namba ngapi?
Unaweza tumia dish lolote ilimradi size ile ile,mf gulf,star sat nn,na uekekeo ule ule,tafuta fundi tu wakufunga mrembo
Iko kwenye other channels kwenye azam tv haipo kwenye main list yao
Ntaipataje?