Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Usikose game za chan za saa moja na nusu kwenye rts 1 iko kwenye other channels now ivory coast versus Morocco iko live
Ipo kwenye namba ngapi katika list ya hizi channels za Azam
 
Angalia ubc pia wako live ila rts 1 yenyewe iko kwenye other channel's.
 
Ingizeni
12728 H 30000
11192 H 3210
12645 H 30000
Hapo pana channel 13 including all 6 channels from Muvi tv zambia (combo, muviz, muvi tv, africa unite, nyimbo na prism africa) + others frm west africa na india na Redio 5. Cha msingi add new satellite then weka hizo freq, search nd enjoy
Hapo kuna channel ina EPL, naangalia karibu mechi 5 hivi kwa week LIVE
Mkuu tafadhar sana naomba uje ata kwa PM
 
Azam sasa ni malipo kila mwezi hivi ipo official au maana sisi wapenda miteremko vichwa vinauma now. Local channel wanakuachia TBC1 Tu.
 
Angalia Crtv
Mkuu iyo frequence ya 11192h 3210 nmepata Rodriguez 1 & 2 lkn hazionyesh zpo giza tu nmekosea wap hap msaada kk?


Angalia Crtv na ktn wanaonyesha epl match moja kila weekend ziko kwa azamtv. Hizo hapo juu kwa sasa ziko encrypted ni giza tu
 
Back
Top Bottom