MorningStar wana hd ya hali ya juu hivyo zile rcv za bei ndogo sometimes picha haiwez tulia #masero
Ph-25 sijaelewa ses@5 na amos@17 unaandikaje kusearch satellite, natumia WizTech 8030
msaada wapendwa.mwenzenu mpaka leo star tv siipati na huwa nalipia elfu ishirini cha television yote..naomba msaada wenu kwann star tv siipati na nimeshafanya auto search lakini wapi!inakuwaje wengine waekewe halafu wengine bado?
msaada wapendwa.mwenzenu mpaka leo star tv siipati na huwa nalipia elfu ishirini cha television yote..naomba msaada wenu kwann star tv siipati na nimeshafanya auto search lakini wapi!inakuwaje wengine waekewe halafu wengine bado?
msaada wapendwa.mwenzenu mpaka leo star tv siipati na huwa nalipia elfu ishirini cha television yote..naomba msaada wenu kwann star tv siipati na nimeshafanya auto search lakini wapi!inakuwaje wengine waekewe halafu wengine bado?
Naona tangazo hapa, Azam wameongeza bei za vifurushi kuanzia 1 Julai 2015. Mbona wanazidi kutuumiza?!
Hii hapa
azam weka mbali na watoto. fta daimaaa
Mkuu sijakuelewa umemaanisha nini?? Samahani ni mgeni katika uzi nimeshawishika katika kununua kingamuzi cha Azam so nilikuwa naangalia maoni ya watu yakoje??
Maana ya FTA mkuu?? Naona hapa mnaelewana wenye kufahamu haya mambo. Samahani kwa usumbufu.
Swali Jengine. Tv yangu ina support HDMI na kingamuzi cha azam kina HDMI. Nikinunua waya wa HDMI channel zitaonekana vizuri zaidi au inakuwaje??
Mkuu sijakuelewa umemaanisha nini?? Samahani ni mgeni katika uzi nimeshawishika katika kununua kingamuzi cha Azam so nilikuwa naangalia maoni ya watu yakoje??
Maana ya FTA mkuu?? Naona hapa mnaelewana wenye kufahamu haya mambo. Samahani kwa usumbufu.
Swali Jengine. Tv yangu ina support HDMI na kingamuzi cha azam kina HDMI. Nikinunua waya wa HDMI channel zitaonekana vizuri zaidi au inakuwaje??