idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Hapa kwangu king'amuz cha azam kina side 3,redio then tv ambako unapata kina itv,eatv na tv kibao za nnje za kizungu then kuna side ya 3 ya menu uko pia kuna tv nyingi za kihindi na huko utamkuta star tv ndugu
Mkuu hiyo side ya 3 unaipata vipi.!