Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Ujio QTV ingekuwa bure kwa Star tv kuendelea kuringa ........hii ndio raha ya competition...
 
wewe uko pande zipi mkuu,mi niko Moshi ila izo chanel zisioni

Mimi niko Moshi pia na sijaziona hizo channels zilizoongezwa. Kwenye facebook page yao Azam wanasema mpaka kufikia tarehe 10 itakuwa zimeongezwa kwa kila mtu. Sasa hivi wanafanya majaribio tu!
 
Post yao kwenye facebook hiyo.
 

Attachments

  • 1430838369585.jpg
    1430838369585.jpg
    58.7 KB · Views: 521
Rasmi nanunua dish la Azam Tv,hili Dstv litakuwa la msimu tu,ligi ikiisha naliweka Museum..
 
Mi nimepata hiyo star tv kwenye other channels. Zipo pia mpya nyingiiiiii za kihindi. Sa sijui itakujaje kwenye list ya kawaida!
 
Mi nimepata hiyo star tv kwenye other channels. Zipo pia mpya nyingiiiiii za kihindi. Sa sijui itakujaje kwenye list ya kawaida!


Wameongeza pia Qtv, Bukkede TV1,Malawi TV na Romanza na hizo za kihindi unazosema ikiwemo Sony Sab and Tollywood na mbc bollywood. Ila Hiz za kwanza hazifunguki je wewe kwako zinafunguka zote?
 
Kwa leo zimehamia kwenye list ya kawaida. But hata keangu, Qtv, TV Malawi, Bukede 1 hazishiki but za kihindi ziko OK. Labda izo zingine zipo category ya malipo makubwa,
 
Kwa leo zimehamia kwenye list ya kawaida. But hata keangu, Qtv, TV Malawi, Bukede 1 hazishiki but za kihindi ziko OK. Labda izo zingine zipo category ya malipo makubwa,
Star Tv ni ni FTA itakuaje iende kwenye malipo makubwa tena? hiyo si haki
 
Star Tv ni ni FTA itakuaje iende kwenye malipo makubwa tena? hiyo si haki

Tulikuwa tukiulizana hiyo Qtv, na Tv Malawi, sio star tv, ilhali tulishajua ni FTA. Hata mdau km umesoma vzr post yake utagundua nini kaniuliza!
 
Tulikuwa tukiulizana hiyo Qtv, na Tv Malawi, sio star tv, ilhali tulishajua ni FTA. Hata mdau km umesoma vzr post yake utagundua nini kaniuliza!
Nimekuelewa mkuu,lakini wasije wakapandisha tu package,kwa chaneli za kihindi na FTA kutoka nchi jiran
 
Star Tv kwangu imekubali ila zile zingine hapana ukiacha machanel ya Khanjibah

Nhk, romanza na landscape pia zimekubali zimebaki tatu qtv, tvm Malawi na bukede 1. Labda watazifungua baadaye au ni kama ntv.
 
machanel mengine nikuongeza uchafu tu mara tv malawi mara, sasa itakuwa kila nchi wakienda wanatuwekea chanel za huko? maana kwenye FB page yao walisema zinakuja na za Rwanda. mi nadhani si lazima kila nchi wanayokwenda watuwekee chanel za huko
 
Kuna fundi mmoja alokuwa akisema Strong Srt 4662 inafungua chanel za Azam, Je kuna ukweli wowote wakuu?

Alikuwa akidai kwa kuwa ni MPEG 4 ndo maana inafungua. Nikampa Qsat Q23G akajitetea kuwa ziko tofauti, ngoja nikachukue Srt. Akala kona.
 
Wakuu Hamna maujanja ya kupata capital tv, maana sidhani km kuna kisimbuzi chenye hiyo Chanel! Namaanisha kwenye azamu au any direction ya sat!
 
Mie naweza kupata kununua king'amuzi kipya cha azam tu bila dish? kinauzwa bei gani? dish ninalo....
mwenye nacho anipm tuongee biashara.
 
Wakuu Hamna maujanja ya kupata capital tv, maana sidhani km kuna kisimbuzi chenye hiyo Chanel! Namaanisha kwenye azamu au any direction ya sat!

una king'amuzi cha T2'Startimes?? kama unacho ni rahisi sana kuipata
 
Mbona hiyo elimu yako haijakamilika sana maana records ya azam TV ukichomoa uwekerecod gani kuwa mwazi...................ili wadau tujue
 
Back
Top Bottom