Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

una uhakika?

Huwa ninaona matangazo kwenye fox sports ambayo ipo azam kuwa 'usikose mechi flani kupitia fox sports two mida flani'.

Kwahiyo nina uhakika kuwa fox sports two huwa wanarusha baadhi ya mechi za premier kwa sasa.Ingawa sina uhakika kama hiyo policy ni endelevu.
 
Azam TV
Jikoki kiburudani!!!
Kuanzia leo tarehe 1 March 2015 azamtv inakuletea:
Punguzo la bei ya kisimbuzi, sasa utapata azamtv kwa shilingi 99,000!!! Hii ikijumuisha decoder,dishi na vifaa vyote pamoja na makato yote ya VAT!!
Azamtv inakupa uhuru wa kuchagua kulingana na kipato chako kwa kuzingatia hali tofauti za kiuchumi kwa Watanzania ili kuifanya iwe burudani kwa wote.
Tumewaletea vifurushi vipya vitatu vya bei vya malipo ya mwezi navyo ni:

AZAM PURE – 10,000/=

AZAM PLUS – 15,000/=

AZAM PLAY – 20,000/=


AZAM PURE – 10,000/=

Kifurushi cha Azam PURE, kitakuwa na chaneli za Azam ONE, Azam TWO, Sinema Zetu pamoja na local chaneli nyingine za hapa Tanzania, Kenya na Uganda kwa 10,000/= kwa mwezi kwa chaneli zaidi ya 20.



AZAM PLUS – 15,000/=

Kifurushi cha Azam PLUS kitakuwa na chaneli zaidi ya 50 kwa 15,000/= kwa mwezi na kitakuwa na chaneli kama zilizopo sasa, isipokuwa Fox Entertainment, FX na AMC.



AZAM PLAY – 20,000/=

Kifurushi cha Azam PLAY kitakuwa na chaneli zote, ikijumlisha Fox Entertainment, FX, AMC, Viasat Nature/History, pamoja na chaneli za klabu za Liverpool na Real Madrid, Fox Sports 2 na nyinginezo nyingi zitakazokuja siku za usoni kwa 20,000/= kwa mwezi.

Jikoki....
Jiongeze kiburudani...
Azamtv Reloaded.

Azam PURE nilifikiri ni AZAM BURE
 
mbc zooote sasa ni fta ktk nilesat, kama mtakumbuka vizuri kabla ya ujio wa azam zilikuwa fta lakini azam walipokuja zilitiwa kufuli, juzi azam wanajifanya kupandisha bei eti ili uzipate utalipia 20000.msisumbuke kulipia hicho kifurushi kikubwa kwa ajili ya mbc. itafute nilesat tu kwyshney 10873 v 27500.SHIKAMOO FTA
 
mbc zooote sasa ni fta ktk nilesat, kama mtakumbuka vizuri kabla ya ujio wa azam zilikuwa fta lakini azam walipokuja zilitiwa kufuli, juzi azam wanajifanya kupandisha bei eti ili uzipate utalipia 20000.msisumbuke kulipia hicho kifurushi kikubwa kwa ajili ya mbc. itafute nilesat tu kwyshney 10873 v 27500.SHIKAMOO FTA

Mbc zipi mkuu? Za waarabu au mauritius?
 
Naomba kuuliza wale waliolipia kifurushi cha 20000/- je wanapata chanel zipi za ziada tofauti na zamani? afu pia Real madrid na Liverpool TV wanaonesha live match?
 
Wadau wote kwa pamoja embu tupeane elimu ya nin una fahamu kuhusu azam tv.. Binafsi natoa freequence hapa na matumiz yake karibuni wote.

UPDATE...
................................

Kama una dish la azam umelifunga na linafanya kazi vizuri,chomoa io decoda ya azam tv,chomeka receiver ya FTA{kama unatumia madish haya ya futi 6 na unaipata itv na nduguze} edit io sat ya intel 906 kwa kawaida inakuaga ya kumi na sita,alafu chagua io inayo fata ambayo ni ya 20, kisha tumbukiza frequence hizi.

12728h,30000 simborate utapata free chanel bureee.

editing..

Sasa hivi Wamebadili hiyo @12728
imekuwa @10721h 30000

Nb: soma uzi kwanza kisha ndio ucoment kwani unaweza ku coment vitu ambavyo tayari vimesha jadiliwa tayari.... na sathunting sio msahafu muda wowote tp zinaweza badilika tu.

Aksante
 
samani pia nielimisheni, hivi kupitia hichi kisimbuz cha azam na kidishi chake ninaweza ongeza channel kwa kuadd hizo satelite?? au mpaka niwe na recever za fta..???
 
Afu awo azam tv wanazngua sana coz kuna Chanel kama realmadrid na liverpool tv hazionyeshi kama vipi wazitoe tu.
 
Back
Top Bottom