Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Msaada wakuu! Nimefanikiwa kuingiza satellite na frequencies, zimeongezeka Channels kadhaa kwenye Azam "dikoda ". Hasa nilipenda kupata Rodriguez, imeingia, ila haina picha wala sauti! Nirekebishe nini ionekane? Natanguliza shukrani

Hauwezi kuwapata,wako terestrial uko kwao ktk satelite wametoka na ni pay TV.
 
Kuanzia tarehe 1/03/215,AZAM TV watafanya mabadiliko ya bei ya vifaa na malipo ya mwezi kama ifuatavyo;

(subscription fee) channel zimegawanywa katika vifurushi vitatu, AZAM PURE (10000/=)- channel 20+ FTA.

AZAM PLUS (15000/=)- channel 50+FTA.

AZAM PLAY(20000)- Channel 60+FTA,BEI ZA VIFAA(dish) ZITAKUWA 99000/=, bila kifurush cha kuanzia na bila ufundi.

Kwa maswali zaid tupigie 0658123412 au piga Azam TV 0764700222.
 
yaan kuongeza station mbili tu za mpira wanaanza mambo ya zuku...nilianza zuku nipo azam..ila sasa nanza fikiria kwenda dstv. channel zenyewe nyingi hazina vipindi vya maana. ahaa washaniuzi hapo sijui wenzangu mnaonaje
 
Kuanzia tarehe 1/03/215,AZAM TV watafanya mabadiliko ya bei ya vifaa na malipo ya mwezi kama ifuatavyo;

(subscription fee) channel zimegawanywa katika vifurushi vitatu, AZAM PURE (10000/=)- channel 20+ FTA.

AZAM PLUS (15000/=)- channel 50+FTA.

AZAM PLAY(20000)- Channel 60+FTA,BEI ZA VIFAA(dish) ZITAKUWA 99000/=, bila kifurush cha kuanzia na bila ufundi.

Kwa maswali zaid tupigie 0658123412 au piga Azam TV 0764700222.

Kwanini hamtaki kuiweka star tv? pia mbona hakuna chaneli ya mieleka kama ile Ten Sport ya India?
 
Kuanzia tarehe 1/03/215,AZAM TV watafanya mabadiliko ya bei ya vifaa na malipo ya mwezi kama ifuatavyo;

(subscription fee) channel zimegawanywa katika vifurushi vitatu, AZAM PURE (10000/=)- channel 20+ FTA.

AZAM PLUS (15000/=)- channel 50+FTA.

AZAM PLAY(20000)- Channel 60+FTA,BEI ZA VIFAA(dish) ZITAKUWA 99000/=, bila kifurush cha kuanzia na bila ufundi.

Kwa maswali zaid tupigie 0658123412 au piga Azam TV 0764700222.

je azam one na azam two zitakuwa ktk kifurushi gani?
 
azam niliwaona kama mkombozi wa wanyonge kumbe ilikuwa chambo cha kuwanasa hao wanyonge. na inavyoonekana azam huenda ikawa na malipo ya juu sana kuliko king'amuzi chochote hapa tanzania
 
Kwanini hamtaki kuiweka star tv? pia mbona hakuna chaneli ya mieleka kama ile Ten Sport ya India?

mimi sio mtumishi wa azam na wala azam hawanijui kabisa,sasa siwezi jua kwa nini hawaongezi chanel ulizo zisema.
 
azam niliwaona kama mkombozi wa wanyonge kumbe ilikuwa chambo cha kuwanasa hao wanyonge. na inavyoonekana azam huenda ikawa na malipo ya juu sana kuliko king'amuzi chochote hapa tanzania

nikweli mna kila dalili inaonekana.
 
Kuanzia tarehe 1/03/215,AZAM TV watafanya mabadiliko ya bei ya vifaa na malipo ya mwezi kama ifuatavyo;

(subscription fee) channel zimegawanywa katika vifurushi vitatu, AZAM PURE (10000/=)- channel 20+ FTA.

AZAM PLUS (15000/=)- channel 50+FTA.

AZAM PLAY(20000)- Channel 60+FTA,BEI ZA VIFAA(dish) ZITAKUWA 99000/=, bila kifurush cha kuanzia na bila ufundi.

Kwa maswali zaid tupigie 0658123412 au piga Azam TV 0764700222.

Kwa spidi hii natafuta FTA receiver na dish la futi sita kisha nitatulia, 20 channels + FTA ndo nini? Hawajui hata maana ya FTA maana tunazilipia nazo, salio likikata nazo baada ya wk 3 zinakata!! Wakifanya huu upumbavu, naachana nao kabisa!!
 
yaan kuongeza station mbili tu za mpira wanaanza mambo ya zuku...nilianza zuku nipo azam..ila sasa nanza fikiria kwenda dstv. channel zenyewe nyingi hazina vipindi vya maana. ahaa washaniuzi hapo sijui wenzangu mnaonaje

Nakuunga mkono, nitauza dish na receiver yao kwa bei ya hasara!! Hizo stesheni mbili zenyewe wala hazina mechi za laivu, ni kuonyesha historia za timu na vitimu vya yoso. Azam Tv wanaweza wakawa walinipata ktk kuniingiza choo cha kike kununua dishi lao, ila wakianza upumbavu huu nitaachana nao.
Mpaka sasa hamna chaneli inayonishika kisawa sawa ktk kifurushi chao, sasa wakianza kugawa gawa makundi, nitajitafutia tu FTA receiver na startimes ya antenna, basi mchezo umeisha!!
 
Dish ft8 rcver ya srt4922 na ku superb vinauzwa bei gani hapa Tz?
 
Huu ndo mda was dstv kuingia kwangu,i can't just afford to pay for nothing,byebye Azam
 
Azam TV
Jikoki kiburudani!!!
Kuanzia leo tarehe 1 March 2015 azamtv inakuletea:
Punguzo la bei ya kisimbuzi, sasa utapata azamtv kwa shilingi 99,000!!! Hii ikijumuisha decoder,dishi na vifaa vyote pamoja na makato yote ya VAT!!
Azamtv inakupa uhuru wa kuchagua kulingana na kipato chako kwa kuzingatia hali tofauti za kiuchumi kwa Watanzania ili kuifanya iwe burudani kwa wote.
Tumewaletea vifurushi vipya vitatu vya bei vya malipo ya mwezi navyo ni:

AZAM PURE – 10,000/=

AZAM PLUS – 15,000/=

AZAM PLAY – 20,000/=


AZAM PURE – 10,000/=

Kifurushi cha Azam PURE, kitakuwa na chaneli za Azam ONE, Azam TWO, Sinema Zetu pamoja na local chaneli nyingine za hapa Tanzania, Kenya na Uganda kwa 10,000/= kwa mwezi kwa chaneli zaidi ya 20.



AZAM PLUS – 15,000/=

Kifurushi cha Azam PLUS kitakuwa na chaneli zaidi ya 50 kwa 15,000/= kwa mwezi na kitakuwa na chaneli kama zilizopo sasa, isipokuwa Fox Entertainment, FX na AMC.



AZAM PLAY – 20,000/=

Kifurushi cha Azam PLAY kitakuwa na chaneli zote, ikijumlisha Fox Entertainment, FX, AMC, Viasat Nature/History, pamoja na chaneli za klabu za Liverpool na Real Madrid, Fox Sports 2 na nyinginezo nyingi zitakazokuja siku za usoni kwa 20,000/= kwa mwezi.

Jikoki....
Jiongeze kiburudani...
Azamtv Reloaded.
 
Azam TV
Jikoki kiburudani!!!
Kuanzia leo tarehe 1 March 2015 azamtv inakuletea:
Punguzo la bei ya kisimbuzi, sasa utapata azamtv kwa shilingi 99,000!!! Hii ikijumuisha decoder,dishi na vifaa vyote pamoja na makato yote ya VAT!!
Azamtv inakupa uhuru wa kuchagua kulingana na kipato chako kwa kuzingatia hali tofauti za kiuchumi kwa Watanzania ili kuifanya iwe burudani kwa wote.
Tumewaletea vifurushi vipya vitatu vya bei vya malipo ya mwezi navyo ni:

AZAM PURE – 10,000/=

AZAM PLUS – 15,000/=

AZAM PLAY – 20,000/=


AZAM PURE – 10,000/=

Kifurushi cha Azam PURE, kitakuwa na chaneli za Azam ONE, Azam TWO, Sinema Zetu pamoja na local chaneli nyingine za hapa Tanzania, Kenya na Uganda kwa 10,000/= kwa mwezi kwa chaneli zaidi ya 20.



AZAM PLUS – 15,000/=

Kifurushi cha Azam PLUS kitakuwa na chaneli zaidi ya 50 kwa 15,000/= kwa mwezi na kitakuwa na chaneli kama zilizopo sasa, isipokuwa Fox Entertainment, FX na AMC.



AZAM PLAY – 20,000/=

Kifurushi cha Azam PLAY kitakuwa na chaneli zote, ikijumlisha Fox Entertainment, FX, AMC, Viasat Nature/History, pamoja na chaneli za klabu za Liverpool na Real Madrid, Fox Sports 2 na nyinginezo nyingi zitakazokuja siku za usoni kwa 20,000/= kwa mwezi.

Jikoki....
Jiongeze kiburudani...
Azamtv Reloaded.

Nzuri sana nimeipenda ila km hujalipa local channel zinaendelea kupatikana
 
Back
Top Bottom