Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Elimu ya bure kuhusu Azam TV

Hapo ni channel gani naweza ona epl au uefa?

EPL iko wbs tv match moja jumamosi
League one fox sports tv
Bundasliga dtv and urban tv match moja jumamosi
Uefa NBS tv match moja jumatano

Hizo ni kwenye Azam TV
 
Nime add freq zoteee na sr zake. Nimesearch na kupata chane 30. Yaani 26 ni tv na 4 ni radio. Japo kuna rodrigues tv 2 and radio ndo haioneshi... tanx sir!

hongera kwa kuelimika Mkuu! maana manufaa ya elimu ni uweze kutumia na sio kujisifu tu kuwa umesoma.Binafs namshukuru mwanzisha uzi kwani kanitoa tongotongo.Sasahiv majua kuadd satellite na channel.
 
Bornvilla, asante kwa pongezi. Ni kweli hata nami sina budi kumshukuru huyu jamaa. Mungu amwingezee siku za kuvuta pumzi ili atusaidie zaidi.
 
Ndio ongeza sat then ingiza hizo freq


Mkuu naomba uongeze data nyingine za kuingiza kwenye hiyo sat, mimi kuna moja nimeiongeza nikapata chanel mbalimbali ikiwemo africa tv lakini nlipoweka hizi freq ulizotoa sijaona kitu.
 
Mkuu naomba uongeze data nyingine za kuingiza kwenye hiyo sat, mimi kuna moja nimeiongeza nikapata chanel mbalimbali ikiwemo africa tv lakini nlipoweka hizi freq ulizotoa sijaona kitu.

Kaongezee hapo hapo ulipopata hiyo Africa Tv, huna haja ya kuadd sat,just add,freq only kwenye Tp
 
Nashukuru sana mkuu! TV Imaan nimeipata. Ubarikiwe sana. Muda mrefu nimeitafuta shukran sana.
 
jamani mimi nina dish nlinunua na king'amuzi cha GTV sasa nataka kujua je kuna namna nyingine naweza kuitumia tena ile receiver ya GTV?na dish lake pia?
 
jamani naombeni msaada kama kuna namna naweza kufanya ili niweze kutumia decorder ya GTV na dish lake.
 
yap hapo naweza bashiri kitu,hiyo ku ya kati ambayo inatazama dish kwa full beam ni kwa ajili ya azam tv ni eutelsat w3 @ 7'E,na hiyo lnb ya juu kabisa kwa ajili ya ses 4 @ 4.8'E hapo kuna tv congo,star times,zuku na hiyo lnb nyeupe ya chini ni kwa ajili ya amos @ 17'E kwa ajili ya ya ting package,continental,ndo hivyo kaka
 
jamani naombeni msaada kama kuna namna naweza kufanya ili niweze kutumia decorder ya GTV na dish lake.

jibu ni moja kati ya haya mawili... moja kanunue rcvr nyingine ambayo iko free to air..

mbili.. wasubiri g tv.watakapo rudi tena hapa tz... sijui lini.
 
Leo nilikwenda kwa jamaa wa dstv sikunakaofa chao ka99,000elf nikiuliza kifurushi cha el17 epl ipo nikaambiwa hakuna,
 
Back
Top Bottom